top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:08:20
Darsa: سنن النسائي 🔴 LIVE | DARSA (II) Ust Abu Raifah Rahim A Omar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 09, 1447H Jumatano Oktoba 01, 2025 سنن النسائي Sunanun Nasaai
Play Video
Play Video
57:03
Darsa ya Tafsiri شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير🔴LIVE Ust Abu Raifah kutokea Zanzibar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 10, 1447H Alhamisi Oktoba 02, 2025 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة قصةُ المَقْتُولِ مِن بَنِي إِسرَائيلَ والبَقَرَ إِحْيَاءُ المَقْتُولِ وتَعْيِيْنُ القَاتِلِ Uhuishaji/Ufufuwaji wa aliyeuliwa na kubainishwa muuwaji ﴾وَإِذْ قَتَلْتُمْ نَفْسًا فَادَّارَأْتُمْ فِيهَا ۖ وَاللَّـهُ مُخْرِجٌ مَّا كُنتُمْ تَكْتُمُونَ ﴿٧٢ "Na (kumbukeni) pale mlipoiua nafsi, kisha mkahitilafiana kwayo, na Allah ni Mwenye Kutoa hayo mliyokuwa mkiyaficha." Al Baqarah 2:72. Mahala (sehemu) tano za kuhuisha wafu katika Suratil-Baqarah خَمْسَةُ مَوَاضِعِ إِحْيَاءِ المَوْتَى فِي سٌورَةِ البَقَرَةِ ﴾فَقُلْنَا اضْرِبُوهُ بِبَعْضِهَا ۚ كَذَٰلِكَ يُحْيِي اللَّـهُ الْمَوْتَىٰ وَيُرِيكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ ﴿٧٣ "Tukasema: Mpigeni (huyo maiti) kwa kipande chake (huyo ng’ombe); kadhalika Allah Anavyohuisha wafu na Anakuonyesheni Aayaat (Miujiza na Dalili) Zake huenda mkatia akilini." Ubainifu juu ya ugumu wa mioyo ya Mayahudi بَيَانُ قَسْوَةِ قُلُوبِ اليَهُودِ Uwepo wa nguvu ya kudiriki/utambuzi katika vitu visivyo hai وُجُودُ قُوَّةِ الإِدْرَاكِ فِي الجَمَادَاتِ ﴾ ثُمَّ قَسَتْ قُلُوبُكُم مِّن بَعْدِ ذَٰلِكَ فَهِيَ كَالْحِجَارَةِ أَوْ أَشَدُّ قَسْوَةً ۚ وَإِنَّ مِنَ الْحِجَارَةِ لَمَا يَتَفَجَّرُ مِنْهُ الْأَنْهَارُ ۚ ﴾وَإِنَّ مِنْهَا لَمَا يَشَّقَّقُ فَيَخْرُجُ مِنْهُ الْمَاءُ ۚ وَإِنَّ مِنْهَا لَمَا يَهْبِطُ مِنْ خَشْيَةِ اللَّـهِ ۗ وَمَا اللَّـهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ ﴿٧٤ "Kisha nyoyo zenu zikawa ngumu baada ya hayo, zikawa kama mawe au ngumu zaidi; na kwa hakika katika mawe kuna yanayobubujika humo mito, na hakika katika hayo kuna yanayopasuka yakatoka humo maji, na hakika katika hayo kuna mengine yanayoporomoka kutokana na hofu ya Allah; na Allah si Ghafili (yaani: si Mwenye kughafilika) kuhusiana na yale myatendayo."
Play Video
Play Video
01:02:09
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات🔴LIVE (II) باب تحريم العقوق وقطيعة الرحم
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 09, 1447H Jumatano Oktoba 01, 2025 باب تحريم العقوق وقطيعة الرحم Mlango wa Uharamu wa Kuwaasi Wazazi na Kukata Kizazi قَالَ الله تَعَالَى ﴾فَهَلْ عَسَيْتُمْ إِن تَوَلَّيْتُمْ أَن تُفْسِدُوا فِي الْأَرْضِ وَتُقَطِّعُوا أَرْحَامَكُمْ﴿٢٢﴾ أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ لَعَنَهُمُ اللَّـهُ فَأَصَمَّهُمْ وَأَعْمَىٰ أَبْصَارَهُمْ﴿٢٣ "Basi huenda nyinyi mkigeuka ndio mfanye ufisadi katika ardhi na kukata jamaa zenu wa uhusiano wa damu? Hao ndio wale ambao Allah Amewalaani; Akawafanya viziwi na Akawapofua macho yao." Muhammad: 22-23. ﴾ وَالَّذِينَ يَنقُضُونَ عَهْدَ اللَّـهِ مِن بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّـهُ بِهِ أَن يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۙ أُولَـٰئِكَ لَهُمُ اللَّعْنَةُ وَلَهُمْ سُوءُ الدَّارِ ﴿٢٥ "Na wale wanaovunja ahadi ya Allah baada ya kufungamana kwake, na wanakata yale Aliyoyaamrisha Allah kuwa yaungwe na wanafanya ufisadi katika ardhi, hao watapata laana na watapata makazi mabaya (Motoni)". Ar-Ra'd:25. وَقَضَىٰ رَبُّكَ أَلَّا تَعْبُدُوا إِلَّا إِيَّاهُ وَبِالْوَالِدَيْنِ إِحْسَانًا ۚ إِمَّا يَبْلُغَنَّ عِندَكَ الْكِبَرَ أَحَدُهُمَا أَوْ كِلَاهُمَا فَلَا تَقُل لَّهُمَا أُفٍّ وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُل لَّهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا ﴾وَاخْفِضْ لَهُمَا جَنَاحَ الذُّلِّ مِنَ الرَّحْمَةِ وَقُل رَّبِّ ارْحَمْهُمَا كَمَا رَبَّيَانِي صَغِيرًا ﴿٢٤ "Na Rabi wako Amehukumu kwamba: Msiabudu isipokuwa Yeye Pekee na (Ameamrisha) kuwafanyia ihsani wazazi wawili; kama mmoja wao akifikia uzee naye yuko pamoja nawe, au wote wawili basi usiwaambie, Uff! Na wala usiwakemee; na waambie maneno ya heshima. Na wainamishie bawa la unyenyekevu kwa huruma, na useme: Rabi wangu! Warehemu kama walivyonilea udogoni." Al-Israa:23-24.
Play Video
Play Video
53:48
Darsa ya Tafsiri شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير🔴LIVE Ust Abu Raifah kutokea Zanzibar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 09, 1447H Jumatano Oktoba 01, 2025 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة قصةُ المَقْتُولِ مِن بَنِي إِسرَائيلَ والبَقَرَةِ Kisa cha aliyeuawa miongoni mwa Bani (wana wa) Israili na (kisa cha) ng'ombe ﴾وَإِذْ قَالَ مُوسَىٰ لِقَوْمِهِ إِنَّ اللَّـهَ يَأْمُرُكُمْ أَن تَذْبَحُوا بَقَرَةً ۖ قَالُوا أَتَتَّخِذُنَا هُزُوًا ۖ قَالَ أَعُوذُ بِاللَّـهِ أَنْ أَكُونَ مِنَ الْجَاهِلِينَ ﴿٦٧ "Na (kumbukeni) pale (Nabii) Musa alipowaambia kaumu wake (yaani: bani Israil): Hakika Allah Anakuamuruni kuchinja ng’ombe; Wakasema: Unatufanyia mzaha! (Nabii Musa) Akasema: Najikinga kwa Allah kuwa miongoni mwa majahili (wajinga)." Al Baqarah 2:67. تَعَنُّتُهُم فِي السُؤَالِ عَن البَقَرَةِ وتَضْيِقُ اللهُ عَلَيهِم Ukaidi wao wa kuuliza juu ya ng'ombe na dhiki ya Allah juu yao ﴾قَالُوا ادْعُ لَنَا رَبَّكَ يُبَيِّن لَّنَا مَا هِيَ ۚ قَالَ إِنَّهُ يَقُولُ إِنَّهَا بَقَرَةٌ لَّا فَارِضٌ وَلَا بِكْرٌ عَوَانٌ بَيْنَ ذَٰلِكَ ۖ فَافْعَلُوا مَا تُؤْمَرُونَ ﴿٦٨ "Wakasema: Tuombee kwa Rabi wako Atubainishie ni ng’ombe wa aina gani huyo? (Nabii Musa) akasema: Hakika Yeye (yaani: Allah) Anasema kwamba ng’ombe mwenyewe si mpevu wala si mchanga, bali ni wa kati na kati baina ya hao, basi fanyeni mnavyoamrishwa." Al Baqarah 2:68. ﴾قَالُوا ادْعُ لَنَا رَبَّكَ يُبَيِّن لَّنَا مَا لَوْنُهَا ۚ قَالَ إِنَّهُ يَقُولُ إِنَّهَا بَقَرَةٌ صَفْرَاءُ فَاقِعٌ لَّوْنُهَا تَسُرُّ النَّاظِرِينَ ﴿٦٩ "Wakasema: Tuombee kwa Rabi wako Atubainishie rangi yake; (Nabii Musa) akasema: Hakika Yeye (Allah) Anasema kwamba ni ng’ombe wa rangi ya njano iliyoiva mno, rangi yake huwapendeza wanaotazama." Al Baqarah 2:69. ﴾ قَالُوا ادْعُ لَنَا رَبَّكَ يُبَيِّن لَّنَا مَا هِيَ إِنَّ الْبَقَرَ تَشَابَهَ عَلَيْنَا وَإِنَّا إِن شَاءَ اللَّـهُ لَمُهْتَدُونَ ﴿٧٠ "Wakasema: Tuombee kwa Rabi wako Atubainishie ni ng’ombe wa aina gani huyo?! Kwa hakika ng’ombe wametutatiza na hakika sisi Inshaallah tutakuwa wenye kuhidika." Al Baqarah 2:70. ﴾قَالَ إِنَّهُ يَقُولُ إِنَّهَا بَقَرَةٌ لَّا ذَلُولٌ تُثِيرُ الْأَرْضَ وَلَا تَسْقِي الْحَرْثَ مُسَلَّمَةٌ لَّا شِيَةَ فِيهَا ۚ قَالُوا الْآنَ جِئْتَ بِالْحَقِّ ۚ فَذَبَحُوهَا وَمَا كَادُوا يَفْعَلُونَ ﴿٧١ "(Nabii Musa) akasema: Hakika Yeye (Allah) Anasema kwamba ni ng’ombe ambaye hakutiishwa wa kulima ardhi wala kwa kumwagilia maji shamba, ni mkamilifu hana dosari; wakasema: Sasa umekuja na haki; basi wakamchinja na hawakuwa wenye kukaribia kufanya hivyo."Al Baqarah 2:71.
Play Video
Play Video
01:34:30
Darsa: سنن الترمذي 🔴 LIVE | DARSA (II) Ust Abu Raifah Rahim A Omar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 08, 1447H Jumanne Septemba 30, 2025 سنن الترمذي Sunanut Tirmidhi
Play Video
Play Video
01:03:08
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات🔴LIVE (I) باب تحريم العقوق وقطيعة الرحم
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 08, 1447H Jumanne Septemba 30, 2025 باب تحريم العقوق وقطيعة الرحم Mlango wa Uharamu wa Kuwaasi Wazazi na Kukata Kizazi قَالَ الله تَعَالَى ﴾فَهَلْ عَسَيْتُمْ إِن تَوَلَّيْتُمْ أَن تُفْسِدُوا فِي الْأَرْضِ وَتُقَطِّعُوا أَرْحَامَكُمْ﴿٢٢﴾ أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ لَعَنَهُمُ اللَّـهُ فَأَصَمَّهُمْ وَأَعْمَىٰ أَبْصَارَهُمْ﴿٢٣ "Basi huenda nyinyi mkigeuka ndio mfanye ufisadi katika ardhi na kukata jamaa zenu wa uhusiano wa damu? Hao ndio wale ambao Allah Amewalaani; Akawafanya viziwi na Akawapofua macho yao." Muhammad: 22-23. ﴾ وَالَّذِينَ يَنقُضُونَ عَهْدَ اللَّـهِ مِن بَعْدِ مِيثَاقِهِ وَيَقْطَعُونَ مَا أَمَرَ اللَّـهُ بِهِ أَن يُوصَلَ وَيُفْسِدُونَ فِي الْأَرْضِ ۙ أُولَـٰئِكَ لَهُمُ اللَّعْنَةُ وَلَهُمْ سُوءُ الدَّارِ ﴿٢٥ "Na wale wanaovunja ahadi ya Allah baada ya kufungamana kwake, na wanakata yale Aliyoyaamrisha Allah kuwa yaungwe na wanafanya ufisadi katika ardhi, hao watapata laana na watapata makazi mabaya (Motoni)". Ar-Ra'd:25. وَقَضَىٰ رَبُّكَ أَلَّا تَعْبُدُوا إِلَّا إِيَّاهُ وَبِالْوَالِدَيْنِ إِحْسَانًا ۚ إِمَّا يَبْلُغَنَّ عِندَكَ الْكِبَرَ أَحَدُهُمَا أَوْ كِلَاهُمَا فَلَا تَقُل لَّهُمَا أُفٍّ وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُل لَّهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا ﴾وَاخْفِضْ لَهُمَا جَنَاحَ الذُّلِّ مِنَ الرَّحْمَةِ وَقُل رَّبِّ ارْحَمْهُمَا كَمَا رَبَّيَانِي صَغِيرًا ﴿٢٤ "Na Rabi wako Amehukumu kwamba: Msiabudu isipokuwa Yeye Pekee na (Ameamrisha) kuwafanyia ihsani wazazi wawili; kama mmoja wao akifikia uzee naye yuko pamoja nawe, au wote wawili basi usiwaambie, Uff! Na wala usiwakemee; na waambie maneno ya heshima. Na wainamishie bawa la unyenyekevu kwa huruma, na useme: Rabi wangu! Warehemu kama walivyonilea udogoni." Al-Israa:23-24.
Play Video
Play Video
42:05
Darsa ya Tafsiri شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير🔴LIVE Ust Abu Raifah kutokea Zanzibar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 08, 1447H Jumanne Septemba 30, 2025 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة ﴾وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ الَّذِينَ اعْتَدَوْا مِنكُمْ فِي السَّبْتِ فَقُلْنَا لَهُمْ كُونُوا قِرَدَةً خَاسِئِينَ ﴿٦٥ "Na kwa yakini mlikwishawajua wale miongoni mwenu waliopindukia mipaka (waliyowekewa) kuhusiana na Siku ya Jumamosi; Tukawaambia: Kuweni manyani waliobezwa." Al Baqarah 2:65. ﴾ فَجَعَلْنَاهَا نَكَالًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهَا وَمَا خَلْفَهَا وَمَوْعِظَةً لِّلْمُتَّقِينَ ﴿٦٦ "Tukaifanya (hiyo adhabu/ikabu yao) kuwa ni adhabu ya tahadharisho na fundisho kwa waliokuweko zama zao na wataokuja baada yao, na ni mawaidha kwa Muttaqina (wenye taqwa)." Al Baqarah 2:66.
Play Video
Play Video
01:24:57
Darsa: سنن أبي داود 🔴 LIVE | DARSA (II) Ust Abu Raifah Rahim A Omar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 07, 1447H Jumatatu Septemba 29, 2025 سنن أبي داود
Contact
bottom of page