top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:09:20
Durusu Maalumu Kwenye Shahari ya Dhul Hijjah 🔴 LIVE DARSA (III)
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 08, 1446 H Jumatano Juni 04, 2025
Play Video
Play Video
01:08:54
Durusu Maalumu Kwenye Shahari ya Dhul Hijjah 🔴 LIVE DARSA (II)
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 07, 1446 H Jumanne Juni 03, 2025
Play Video
Play Video
01:06:45
Durusu Maalumu Kwenye Shahari ya Dhul Hijjah 🔴 LIVE DARSA (I)
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 06, 1446 H Jumatatu Juni 02, 2025
Play Video
Play Video
50:53
Usuli Sunnah Vichwa vya bidaa رؤوس البدع 🔴 LIVE | Darsa
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 05, 1446 H Jumapili Juni 01, 2025 الفترة الثانية : ٣٧ه - ١٠٠ه Bidaa ya Qadariyyah بدعة القدرية * Kukanusha Qadar na kuikata : (yaani:Allah Hajuwi matendo ya mja mpaka pale yanapotokea) بدعة القدرية هو نفي القدر وإنكاره إن الله تعالى لم يخلق أفعال العباد، ويجعلون العبد خالق فعل نفسه، ويقولون: إن الله تعالى لا يعلم الشيء إلا بعد وقوعه Qadariyyah wanasema kuwa: Allah Hakuumba matendo ya waja, na wanamfanya mja kuwa ni muumba wa matendo yake, na wanasema kuwa:Allah Hajui kitu ila baada ya kutokea kwake.
Play Video
Play Video
01:26:40
Fadhila za Yawm (Siku ya) Arafah فضائل يوم عرفة 🔴 LIVE DARSA
Mhadhara ulifanyika Dhul Hijjah 03, 1446 H Ijumaa Mei 30, 2025 Fadhila za Yawm (Siku ya) Arafah فضائل يوم عرفة Yawmu Arafah يومِ عرفة ni siku moja adhimu miongoni mwa siku adhimu katika mwaka wa Kiislamu. Allah Ta'alaa Ameichagua Yawmu Arafah miongoni mwa masiku kumi (yaani: siku kumi za mwanzo za Shahari ya Dhul Hijjah) iwe ni yenye fadhila nyingi, na (pia) Akajaalia kusimama ndani yake (yaani: kisimamo cha Yawmu Arafah) kiwe nguzo ya Hija adhimu.
Play Video
Play Video
01:17:26
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الدلالة عَلَى خير 🔴 LIVE DARSA (67)
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 01, 1446 H Jumatano Mei 28, 2025 باب في الدلالة عَلَى خير والدعاء إِلَى هدى أَوْ ضلالة Mlango wa Kuelekeza (watu) kwenye (kufanya mambo ya) Heri na kuwalingania kwenye Huda (Uongofu) au dhalala (upotevu) قَالَ تَعَالَى وَادْعُ إِلَىٰ رَبِّكَ ۖ "Na lingania -waite watu) kwa Rabi wako… " Al-Qaswasw: 87. ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ "Lingania kwenye Sabili ya Rabi wako kwa hekima na (kwa) mawaidha mazuri." An-Nahl: 125. وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ "Na shirikianeni katika wema na taqwa… " Al-Maaidah 5: 2. وَلْتَكُن مِّنكُمْ أُمَّةٌ يَدْعُونَ إِلَى الْخَيْرِ "Na wawepo miongoni mwenu umati (wa watu) utaolingania kwenye heri…" Aal-Imraan 3:104.
Play Video
Play Video
55:19
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في بيان كثرة طرق الخير 🔴 LIVE DARSA (48)
Darsa ilifanyika Shawwal 11, 1446 H Jumatatu April 09, 2025 باب في بيان كثرة طرق الخير Mlango Wa Ubainifu Wa Njia Nyingi Za Kheri قَالَ الله تَعَالَى وَمَا تَفْعَلُوا مِنْ خَيْرٍ فَإِنَّ اللَّـهَ بِهِ عَلِيمٌ ﴿٢١٥ "Na lolote mlifanyalo katika kheri basi hakika Allah kwa hilo ni Alimu" Al-Baqarah 2:215. وَمَا تَفْعَلُوا مِنْ خَيْرٍ يَعْلَمْهُ اللَّـهُ ۗ﴿ "Na lolote mlifanyalo katika ya kheri Allah Analijua." Al-Baqarah 2:197." فَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ خَيْرًا يَرَهُ ﴿ "Basi yule atakayetenda kheri uzito wa chembe ya atomu (au mdudu chungu) ataiona."Az-Zalzalah: 7. مَنْ عَمِلَ صَالِحًا فَلِنَفْسِهِ ۖ ﴿١٥ "Yeyote atendaye jema, basi ni kwa ajili ya nafsi yake." Al-Jaathiyah: 15.
Play Video
Play Video
01:03:40
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الدلالة عَلَى خير 🔴 LIVE DARSA (66)
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 29, 1446 H Jumanne Mei 27, 2025 باب في الدلالة عَلَى خير والدعاء إِلَى هدى أَوْ ضلالة Mlango wa Kuelekeza (watu) kwenye (kufanya mambo ya) Heri na kuwalingania kwenye Huda (Uongofu) au dhalala (upotevu) قَالَ تَعَالَى وَادْعُ إِلَىٰ رَبِّكَ ۖ "Na lingania -waite watu) kwa Rabi wako… " Al-Qaswasw: 87. ادْعُ إِلَىٰ سَبِيلِ رَبِّكَ بِالْحِكْمَةِ وَالْمَوْعِظَةِ الْحَسَنَةِ ۖ "Lingania kwenye Sabili ya Rabi wako kwa hekima na (kwa) mawaidha mazuri." An-Nahl: 125. وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ "Na shirikianeni katika wema na taqwa… " Al-Maaidah 5: 2. وَلْتَكُن مِّنكُمْ أُمَّةٌ يَدْعُونَ إِلَى الْخَيْرِ "Na wawepo miongoni mwenu umati (wa watu) utaolingania kwenye heri…" Aal-Imraan 3:104.
Contact
bottom of page