top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
44:09
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير🔴LIVE Aayah 98 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Jumadal Awwal 01, 1447H Alhamisi Oktoba 23, 2025 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة التَفْرِيقُ بَيْنَ المَلَائِكَةِ كَالتَفْرِيقِ بَينَ الأَنْبِيَاءِ Kutofautisha baina ya Malaika ni sawasawa na kutofautisha baina na Manabii ﴾قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّـهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ ﴿٩٧ "Sema: Yeyote yule aliyekuwa adui wa Jibril, basi hakika yeye ameiteremsha Qur-aani katika moyo wako kwa Idhini ya Allah inayosadikisha yaliyo kabla yake, na ni mwongozo na bishara kwa Waumini." ﴾مَن كَانَ عَدُوًّا لِّلَّـهِ وَمَلَائِكَتِهِ وَرُسُلِهِ وَجِبْرِيلَ وَمِيكَالَ فَإِنَّ اللَّـهَ عَدُوٌّ لِّلْكَافِرِينَ ﴿٩٨ "Yeyote yule aliyekuwa adui wa Allah na Malaika Wake, na Rusuli Wake, na Jibril, na Mikail, basi hakika Allah ni adui wa makafiri." ﴾وَلَقَدْ أَنزَلْنَا إِلَيْكَ آيَاتٍ بَيِّنَاتٍ ۖ وَمَا يَكْفُرُ بِهَا إِلَّا الْفَاسِقُونَ ﴿٩٩ "Na kwa yakini Tumeteremsha kwako Aayaat zilizowazi, na hawazikanushi isipokuwa mafasiki." ﴾أَوَكُلَّمَا عَاهَدُوا عَهْدًا نَّبَذَهُ فَرِيقٌ مِّنْهُم ۚ بَلْ أَكْثَرُهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ ﴿١٠٠ "Je! Eti ndio kila wanapochukua ahadi kundi miongoni mwao huivunja?; bali wengi wao hawaamini."
Play Video
Play Video
01:05:17
Darsa: سنن النسائي 🔴LIVE | DARSA كتاب الطهارة (II) رَاوِي الحَدِيثِ Ust Abu Raifah Rahim A Omar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 30, 1447H Jumatano Oktoba 22, 2025 SEHEMU YA PILI Sunanun Nasaai سنن النسائي Kitabu cha Twahara كتاب الطهارة باب تَأْوِيلِ قَوْلِهِ عَزَّ وَجَلَّ { إِذَا قُمْتُمْ إِلَى الصَّلاَةِ فَاغْسِلُوا وُجُوهَكُمْ وَأَيْدِيَكُمْ إِلَى الْمَرَافِقِ } Mlango wa Tafsiri ya Kauli Yake Ta'alaa: ﴾ إِذَا قُمْتُمْ إِلَى الصَّلَاةِ فَاغْسِلُوا وُجُوهَكُمْ وَأَيْدِيَكُمْ إِلَى الْمَرَافِقِ وَامْسَحُوا بِرُءُوسِكُمْ وَأَرْجُلَكُمْ إِلَى الْكَعْبَيْنِ ۚ ﴿٦ "Mtakaposimama kwa ajili ya Sala, basi osheni nyuso zenu na mikono yenu mpaka kwenye visugudi, na panguseni (kwa kupaka maji) vichwa vyenu na (osheni) miguu yenu hadi vifundoni...." Al Maaidah 5:6. :أَخْبَرَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، قَالَ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنِ الزُّهْرِيِّ، عَنْ أَبِي سَلَمَةَ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم قَالَ " إِذَا اسْتَيْقَظَ أَحَدُكُمْ مِنْ نَوْمِهِ فَلاَ يَغْمِسْ يَدَهُ فِي وَضُوئِهِ حَتَّى يَغْسِلَهَا ثَلاَثًا فَإِنَّ أَحَدَكُمْ لاَ يَدْرِي أَيْنَ بَاتَتْ يَدُهُ " Alituambua Qutaybah ibn Said, alisema: Sufyan alituhadithia kutokana na al-Zuhri, kutokana na Abu Salamah, kutokana na Abu Hurayrah kwamba Nabii صلى الله عليه وسلم alisema: "Atakapoamka mmoja wenu asiingize mkono wake kwenye chombo mpaka auoshe mara tatu, kwa kuwa mmoja wenu hajui ni wapi (yaani: pahala gani) mkono wake ulilala.” Sufyan bin ‘Uyaynah bin Abu Imrani سفيان بن عيينة بن أبي عمران : الاسم سفيان بن عيينة بن أبي عمران (سفيان بن عيينة بن أبي عمران: ميمون) اللقب: الأعور الكنية: أبو محمد النسب: الهلالي مولاهم، الكوفي، ثم المكي بلد الإقامة: الكوفة، مكة تاريخ الميلاد: 107 هـ تاريخ الوفاة: 197 هـ أو 198 هـ بلد الوفاة: مكة بلد الرحلة: الشام طبقة رواة التقريب: من رؤس الطبقة الثامنة الرتبة عند ابن حجر: ثقة حافظ فقيه, إمام حجة إلا أنه تغير حفظه بأخرة, وكان ربما دلس لكن عن الثقات الرتبة عند الذهبي: أحد الأعلام، ثقة، ثبت، حافظ، إمام Usuli (Misingi) ya Itikadi kwa Sufyan bin Uyaynah أصول الاعتقاد عند سفيان بن عيينة Itikadi ya Sufyan bin Uyaynah عقيدة سفيان بن عيينة 1. Kuthibitisha Qadar إثبات القدر 2. Kuwatanguliza Abu Bakr na Omar (Allah Awe Radhi Nao) وتقديم أبي بكر وعمر رضي الله عنهما 3. Kuamini Uombezi wa Nabii na Hodhi والإيمان بالشفاعة والحوض 4. Kuamini Mizani na Sirati والميزان والصراط 5. Na kwamba Imani ni kauli na amali (huzidi na hupungua) والإيمان بأن الإيمان قول وعمل 6.Na kwamba Qur ani ni Kalamullah na wala si mahuluku وأن القرآن كلام الله 7. Kusadikisha neema na adhabu ya kaburini عذاب القبر: يقر بوجود عذاب القبر ونعيمه 8.Kufufuliwa: Anaamini kufufuliwa Siku ya Qiyamaah البعث: يؤمن بالبعث يوم القيامة 9. Kutokana kauli (kutosema) kwamba mtu fulani ataingia Jannah au Nari (Motoni), isipokuwa kwa wale kumi walioahidiwa Jannah. وعدم القطع لشخص بعينه بدخول الجنة أو النار إلا للعشرة
Play Video
Play Video
01:07:41
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات🔴LIVE (II) باب زيارة أهل الخير ومجالستهم وصحبتهم ومحبتهم
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 30, 1447H Jumatano Oktoba 22, 2025 باب زيارة أهل الخير ومجالستهم وصحبتهم ومحبتهم وطلب زيارتهم والدعاء منهم وزيارة المواضع الفاضلة Mlango wa Kuwazuru Ahali wa heri, na Kukaa nao, na Kusuhubiana nao na Kuwapenda kuwaomba kuwazu, na dua, na kuzuru sehemu za fadhila قَالَ الله تَعَالَى ﴾وَإِذْ قَالَ مُوسَىٰ لِفَتَاهُ لَا أَبْرَحُ حَتَّىٰ أَبْلُغَ مَجْمَعَ الْبَحْرَيْنِ أَوْ أَمْضِيَ حُقُبًا ﴿٦٠ ﴾إِلَى قوله تَعَالَى : قَالَ لَهُ مُوسَىٰ هَلْ أَتَّبِعُكَ عَلَىٰ أَن تُعَلِّمَنِ مِمَّا عُلِّمْتَ رُشْدًا ﴿٦٦ "Na (kumbuka pale) Musa alipomwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifikie zinapokutana bahari mbili, na nitaendelea muda mrefu." hadi Kauli Yake Ta'alaa: "Basi walipofika zinapoungana bahari mbili, walimsahau samaki wao; naye akachukua njia yake baharini akiponyoka chini kwa chini." Al-Kahf: 60-66. ﴾ وَاصْبِرْ نَفْسَكَ مَعَ الَّذِينَ يَدْعُونَ رَبَّهُم بِالْغَدَاةِ وَالْعَشِيِّ يُرِيدُونَ وَجْهَهُ ۖ ﴿٢٨ "Na isubirishe nafsi yako pamoja na wale wanaomuomba Rabbi wao asubuhi kabla jua kucha na jioni, wanataka Wajihi Wake." Al-Kahf: 28.
Play Video
Play Video
44:57
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير🔴LIVE Aayah 96-97 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 30, 1447H Jumatano Oktoba 22, 2025 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة حِرْصُهُم عَلَى طُوْلِ العُمْرِ Pupa yao juu ya maisha marefu وَلَتَجِدَنَّهُمْ أَحْرَصَ النَّاسِ عَلَىٰ حَيَاةٍ وَمِنَ الَّذِينَ أَشْرَكُوا ۚ يَوَدُّ أَحَدُهُمْ لَوْ يُعَمَّرُ أَلْفَ سَنَةٍ ﴾وَمَا هُوَ بِمُزَحْزِحِهِ مِنَ الْعَذَابِ أَن يُعَمَّرَ ۗ وَاللَّـهُ بَصِيرٌ بِمَا يَعْمَلُونَ ﴿٩٦ "Na kwa yakini utawakuta wao (Mayahudi) ni watu wenye pupa zaidi ya kuishi na kuliko hata washirikina; kila mmoja wao anapenda zaidi lau angelipewa umri wa miaka elfu, na wala huko kuzidishiwa umri hakutamuondoshea adhabu; na Allah ni Mwenye Kuona wanayoyatenda." عَدَاوَةُ اليَهُودِ لِجِبْرِيلَ Uadui wa Mayahudi dhidi ya Jibril ﴾قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّـهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ ﴿٩٧ "Sema: Yeyote aliyekuwa adui wa Jibril, basi hakika yeye ameiteremsha Qur-aani katika moyo wako (ewe Nabii Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) kwa Idhini ya Allah inayosadikisha yaliyo kabla yake, na mwongozo na bishara kwa Waumini."
Play Video
Play Video
01:11:48
Darsa: سنن الترمذي 🔴LIVE| كتاب الطهارة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم :رَاوِي الحَدِيثِ Abu Raifah
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 29, 1447H Jumanne Oktoba 21, 2025 سنن الترمذي Sunanut Tirmidhi كتاب الطهارة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم Kitabu cha Twahara/tohara kutokana na Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم Mlango: Yaliyokuja: Haikubaliwi Sala bila tohara باب مَا جَاءَ لاَ تُقْبَلُ صَلاَةٌ بِغَيْرِ طُهُورٍ أبو عوانة: الوضاح بن عبد الله Al-Wadhdhah bin Abdullah: Abu 'Awaanah al-Yashkari أبو عوانة الوضاح بن عبد الله اليشكري الاسم: الوضاح بن عبد الله الشهرة: أبو عوانة الكنية: أبو عوانة النسب: اليشكري, الواسطي, البزاز، البصري، المهلبي مولاهم، الجرجاني مولاهم، مولى لبني المقرن، ويقال: الكندي بلد الإقامة: واسط، البصرة علاقات الراوي: كان مولى لبني المقرن، من سبي جرجان، وكان من سبي المهلب، وهو مولى يزيد بن عطاء بن يزيد الليثي اليشكري، ويقال: مولى أبيه عطاء بن يزيد، وصهره: الفضل بن مساور تاريخ الميلاد: 122هـ تاريخ الوفاة: 175، أو 176هـ بلد الوفاة: البصرة طبقة رواة التقريب: السابعة الرتبة عند ابن حجر: ثقة ثبت الرتبة عند الذهبي: ثقة متقن لكتابه
Play Video
Play Video
01:09:33
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات🔴LIVE (I) باب زيارة أهل الخير ومجالستهم وصحبتهم ومحبتهم
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 29, 1447H Jumanne Oktoba 21, 2025 باب زيارة أهل الخير ومجالستهم وصحبتهم ومحبتهم وطلب زيارتهم والدعاء منهم وزيارة المواضع الفاضلة Mlango wa Kuwazuru Ahali wa heri, na Kukaa nao, na Kusuhubiana nao na Kuwapenda kuwaomba kuwazu, na dua, na kuzuru sehemu za fadhila قَالَ الله تَعَالَى ﴾وَإِذْ قَالَ مُوسَىٰ لِفَتَاهُ لَا أَبْرَحُ حَتَّىٰ أَبْلُغَ مَجْمَعَ الْبَحْرَيْنِ أَوْ أَمْضِيَ حُقُبًا ﴿٦٠ ﴾إِلَى قوله تَعَالَى : قَالَ لَهُ مُوسَىٰ هَلْ أَتَّبِعُكَ عَلَىٰ أَن تُعَلِّمَنِ مِمَّا عُلِّمْتَ رُشْدًا ﴿٦٦ "Na (kumbuka pale) Musa alipomwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifikie zinapokutana bahari mbili, na nitaendelea muda mrefu." hadi Kauli Yake Ta'alaa: "Basi walipofika zinapoungana bahari mbili, walimsahau samaki wao; naye akachukua njia yake baharini akiponyoka chini kwa chini." Al-Kahf: 60-66. ﴾ وَاصْبِرْ نَفْسَكَ مَعَ الَّذِينَ يَدْعُونَ رَبَّهُم بِالْغَدَاةِ وَالْعَشِيِّ يُرِيدُونَ وَجْهَهُ ۖ ﴿٢٨ "Na isubirishe nafsi yako pamoja na wale wanaomuomba Rabbi wao asubuhi kabla jua kucha na jioni, wanataka Wajihi Wake." Al-Kahf: 28.
Play Video
Play Video
58:17
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير🔴LIVE Aayah 93-95 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 29, 1447H Jumanne Oktoba 21, 2025 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة عِصْيَانُ اليَهُودِ بَعْدَ أَخْذِ مِيثَاقِهِم وَرُؤْيَتِهِمُ الطُّوْرَ فَوْقَ رُؤٌوسِهِمْ Uasi wa Mayahudi baada ya kuchukua ahadi nzito (agano; makubaliano yaliyotiliwa mkazo) na kuuona mlima wa twur juu ya vichwa vyao وَإِذْ أَخَذْنَا مِيثَاقَكُمْ وَرَفَعْنَا فَوْقَكُمُ الطُّورَ خُذُوا مَا آتَيْنَاكُم بِقُوَّةٍ وَاسْمَعُوا ﴾قَالُوا سَمِعْنَا وَعَصَيْنَا وَأُشْرِبُوا فِي قُلُوبِهِمُ الْعِجْلَ بِكُفْرِهِمْ ۚ قُلْ بِئْسَمَا يَأْمُرُكُم بِهِ إِيمَانُكُمْ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ﴿٩٣ "Na (kumbukeni pale) Tulipochukua ahadi yenu ya nguvu na Tukaunyanyua juu yenu (mlima wa) twur (Tukasema): Shikilieni Tuliyokupeni kwa nguvu na sikilizeni; wakasema: Tumesikia na tumeasi; wakanyweshwa katika nyoyo zao (mahaba ya kuabudu) ndama kwa kufuru yao. Sema: Ubaya ulioje inakuamrisheni kwayo imani yenu mkiwa ni waumini!" Al Baqarah 2:93. دَعْوَةُ اليَهُودِ إَلَى النُبَاهَلَةِ Kuwaita (kuwalingania) mayahudi kwenye kiapo cha kuapizana ﴾قُلْ إِن كَانَتْ لَكُمُ الدَّارُ الْآخِرَةُ عِندَ اللَّـهِ خَالِصَةً مِّن دُونِ النَّاسِ فَتَمَنَّوُا الْمَوْتَ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ ﴿٩٤ "Sema: Ikiwa nyumba ya Akhera iliyoko kwa Allah ni mahsusi kwenu pekee pasi na watu wengine, basi tamanini mauti mkiwa ni wakweli." Al Baqarah 2:94. ﴾وَلَن يَتَمَنَّوْهُ أَبَدًا بِمَا قَدَّمَتْ أَيْدِيهِمْ ۗ وَاللَّـهُ عَلِيمٌ بِالظَّالِمِينَ ﴿٩٥ "Na hawatoyatamani (hayo mauti) abadani kwa sababu ya iliyoyatanguliza mikono yao; na Allah ni Alimu kwa madhalimu." Al Baqarah 2:95.
Play Video
Play Video
01:17:15
Darsa: سنن أبي داود 🔴 LIVE | كتاب الطهارة : رَاوِي الحَدِيثِ (II) Ust Abu Raifah Rahim A Omar
Darsa ilifanyika Rabi' Thani 28, 1447H Jumatatu Oktoba 20, 2025 Sunan Abu Daud سنن أبي داود Mlango wa Kujiweka mbali (kujitenga) wakati wa kwenda kujisaidia باب التَّخَلِّي عِنْدَ قَضَاءِ الْحَاجَةِ حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ مَسْلَمَةَ بْنِ قَعْنَبٍ الْقَعْنَبِيُّ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الْعَزِيزِ، - يَعْنِي ابْنَ مُحَمَّدٍ - عَنْ مُحَمَّدٍ، - يَعْنِي ابْنَ عَمْرٍو - عَنْ أَبِي سَلَمَةَ عَنِ الْمُغِيرَةِ بْنِ شُعْبَةَ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم كَانَ إِذَا ذَهَبَ الْمَذْهَبَ أَبْعَدَ . Ametusimulia Abdullah bin Maslamah bin Qa'nabi Al Qa'nabiyu, ametuhadithia Abdulazizi -yaani: Ibn Muhammad- kutokana na Muhammad -yaani: Ibn Amru- kutokana na Abu Salamah kutokana na Al Mughirah bin Shu’bah (Allah Awe Radhi Nae) kwamba: 'Nabii صلى الله عليه وسلم alikuwa anapotaka kwenda haja, huenda mbali (kujisaidia).' SEHEMU YA PILI Abdullah bin Maslamah bin Qa'nabi Al Qa'nabiyu عَبْدُ اللَّهِ بْنُ مَسْلَمَةَ بْنِ قَعْنَبٍ الْقَعْنَبِيُّ لاسم: عبد الله بن مسلمة بن قعنب الكنية: أبو عبد الرحمن النسب: القعنبي, الحارثي, البصري, المدني الأصل بلد الإقامة: سكن المدينة, ونزل البصرة علاقات الراوي: أخواه: يحيى، وإسماعيل تاريخ الوفاة: 220 هـ، أو 221 هـ بلد الوفاة: مكة, وقيل: بالبصرة طبقة رواة التقريب: من صغار التاسعة الرتبة عند ابن حجر: ثقة عابد الرتبة عند الذهبي: أحد الأعلام، قال أبو حاتم: ثقة حجة لم أر أخشع منه. وقال أبو زرعة: ما كتبت عن أحد أجل في عيني منه
Contact
bottom of page