top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:26:32
Majilisi za Ramadhani 🔴 DARSA: زَكَاةُ الفِطْرِ Ust Abu Arqam
Darsa ilifanyika Ramadhani 26, 1447H Jumapili Machi 15, 2026 Zaka ya Fitri زَكَاةُ الفِطْرِ Muislamu anaewafikishwa kufunga Shahari ya Ramadhani anatakiwa atoe Zakatul-Fitri kuonesha shukurani zake kwa Allah kwa kule Kumuwafikisha kuweza kutekeleza ibada adhimu ya Kufunga. Zakatul-Fitri inamsafisha mwenye kufunga kutokana na maovu ya ulimi aliyotamka kama maneno machafu na ya upuuzi. Zakatul-Fitri inapelekea kumuepusha Muislamu na ubahili. Zakatul-Fitri inawaepusha masikini na wanaohitaji kutokana na kuomba katika Siku ya Idi. عَنْ ابْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ فَرَضَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ زَكَاةَ الْفِطْرِ طُهْرَةً لِلصَّائِمِ مِنْ اللَّغْوِ وَالرَّفَثِ وَطُعْمَةً لِلْمَسَاكِينِ مَنْ أَدَّاهَا قَبْل َالصَّلاةِ فَهِيَ زَكَاةٌ مَقْبُولَةٌ وَمَنْ أَدَّاهَا بَعْدَ الصَّلاةِ فَهِيَ صَدَقَةٌ مِنْ الصَّدَقَاتِ رواه أبو داود قال النووي : رَوَاهُ أَبُو دَاوُد مِنْ رِوَايَةِ ابْنِ عَبَّاسٍ بِإِسْنَادٍ حَسَنٍ Amesimulia Ibn Abbas (رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا ) kwamba: "Rasuli wa Allahu صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ameifaradhisha Zaka ya Fitri kwa ajili ya kumsafisha aliye funga kutokana na maneno ya upuuzi na machafu, na kwa ajili ya kuwalisha masikini; atakayeitoa kabla Sala basi ni Zaka iliyokubaliwa, na atakayeitoa baada ya Sala itakuwa ni sadaka miongoni mwa sadaka" Zaka ya Fitri ni: Wajibu/Fardhi juu ya kila Muislamu عَن ْابْنِ عُمَرَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ فَرَضَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ زَكَاةَ الْفِطْرِ صَاعًا مِنْ تَمْرٍ أَوْ صَاعًا مِنْ شَعِيرٍ عَلَى الْعَبْدِ وَالْحُرِّ وَالذَّكَرِ وَالأنْثَى وَالصَّغِيرِ وَالْكَبِيرِ مِنْ الْمُسْلِمِينَ". البخاري Amesimulia Ibn Umar (رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا) kwamba: "Rasuli wa Allah صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ amefaradhisha Zaka ya Fitri kwa mtumwa na aliye huru, mwanamume na mwanamke, mdogo na mkubwa miongoni mwa Waislamu kwa kutoa pishi moja (kilo mbili na nusu) ya tende kavu au pishi moja ya shayiri." Hivyo basi kila Muislamu hutakiwa kutoa Zaka ya Fitri kwa ajili yake na kwa ajili ya familia yake na wote waliomo katika jukumu lake. Hivyo basi yeyote yule mwenye uwezo na hata mwenye kumiliki chakula cha siku ya Sikukuu ajitolee mwenyewe pamoja na watu wake wote ambao wako chini ya jukumu lake kama mke, watoto, wazazi ambao hawana kipato. Wanaotakiwa kupewa hasa ni: Maskini na wenye kuhitaji. Zaka ya Fitri inatakiwa kutokewa: Kuanzia Maghribi ya siku ya mwisho ya Ramadhani hadi asubuhi kabla ya kusaliwa Sala ya Idi. (HUU NDIO WAKATI WENYE FADHILA) Kinachotakiwa kutolewa: Ni chakula kinacholiwa na watu wengi zaidi katika mji kama ni shayiri, au tende kavu, au mchele n.k. Haitakikani kutolewa fedha taslimu isipokuwa pakiwepo dharura ya kufanya hilo kwa kuwa Rasuli wa Allah صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ alianisha kile cha kutolewa.
Play Video
Play Video
01:21:43
Majilisi za Shahari ya Ramadhani 🔴LIVE عِنْدَ رَحِيلِ رَمَضَان Ust Ahmad
Darsa ilifanyika Ramadhani 26, 1447H Jumapili Machi 15, 2026 Ramadhani inaondoka: عِنْدَ رَحِيلِ رَمَضَان: مُحَاسَبَةٌ النفس،زَكَاةُ الفِطْرِ Zaka ya Fitri زَكَاةُ الفِطْرِ Muislamu anaewafikishwa kufunga Shahari ya Ramadhani anatakiwa atoe Zakatul-Fitri kuonesha shukurani zake kwa Allah kwa kule Kumuwafikisha kuweza kutekeleza ibada adhimu ya Kufunga. Zakatul-Fitri inamsafisha mwenye kufunga kutokana na maovu ya ulimi aliyotamka kama maneno machafu na ya upuuzi. Zakatul-Fitri inapelekea kumuepusha Muislamu na ubahili. Zakatul-Fitri inawaepusha masikini na wanaohitaji kutokana na kuomba katika Siku ya Idi. عَنْ ابْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ فَرَضَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ زَكَاةَ الْفِطْرِ طُهْرَةً لِلصَّائِمِ مِنْ اللَّغْوِ وَالرَّفَثِ وَطُعْمَةً لِلْمَسَاكِينِ مَنْ أَدَّاهَا قَبْل َالصَّلاةِ فَهِيَ زَكَاةٌ مَقْبُولَةٌ وَمَنْ أَدَّاهَا بَعْدَ الصَّلاةِ فَهِيَ صَدَقَةٌ مِنْ الصَّدَقَاتِ رواه أبو داود قال النووي : رَوَاهُ أَبُو دَاوُد مِنْ رِوَايَةِ ابْنِ عَبَّاسٍ بِإِسْنَادٍ حَسَنٍ Amesimulia Ibn Abbas (رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا ) kwamba: "Rasuli wa Allahu صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ameifaradhisha Zaka ya Fitri kwa ajili ya kumsafisha aliye funga kutokana na maneno ya upuuzi na machafu, na kwa ajili ya kuwalisha masikini; atakayeitoa kabla Sala basi ni Zaka iliyokubaliwa, na atakayeitoa baada ya Sala itakuwa ni sadaka miongoni mwa sadaka" Zaka ya Fitri ni: Wajibu/Fardhi juu ya kila Muislamu عَن ْابْنِ عُمَرَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ فَرَضَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ زَكَاةَ الْفِطْرِ صَاعًا مِنْ تَمْرٍ أَوْ صَاعًا مِنْ شَعِيرٍ عَلَى الْعَبْدِ وَالْحُرِّ وَالذَّكَرِ وَالأنْثَى وَالصَّغِيرِ وَالْكَبِيرِ مِنْ الْمُسْلِمِينَ". البخاري Amesimulia Ibn Umar (رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا) kwamba: "Rasuli wa Allah صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ amefaradhisha Zaka ya Fitri kwa mtumwa na aliye huru, mwanamume na mwanamke, mdogo na mkubwa miongoni mwa Waislamu kwa kutoa pishi moja (kilo mbili na nusu) ya tende kavu au pishi moja ya shayiri." Hivyo basi kila Muislamu hutakiwa kutoa Zaka ya Fitri kwa ajili yake na kwa ajili ya familia yake na wote waliomo katika jukumu lake. Hivyo basi yeyote yule mwenye uwezo na hata mwenye kumiliki chakula cha siku ya Sikukuu ajitolee mwenyewe pamoja na watu wake wote ambao wako chini ya jukumu lake kama mke, watoto, wazazi ambao hawana kipato. Wanaotakiwa kupewa hasa ni: Maskini na wenye kuhitaji. Zaka ya Fitri inatakiwa kutokewa: Kuanzia Maghribi ya siku ya mwisho ya Ramadhani hadi asubuhi kabla ya kusaliwa Sala ya Idi. (HUU NDIO WAKATI WENYE FADHILA) Kinachotakiwa kutolewa: Ni chakula kinacholiwa na watu wengi zaidi katika mji kama ni shayiri, au tende kavu, au mchele n.k. Haitakikani kutolewa fedha taslimu isipokuwa pakiwepo dharura ya kufanya hilo kwa kuwa Rasuli wa Allah صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ alianisha kile cha kutolewa. Nini cha kufanya Katika Siku Tatu Hizi za Mwisho? عِنْدَ رَحِيلِ رَمَضَان: مُحَاسَبَةٌ النفس،زَكَاةُ الفِطْرِ
Play Video
Play Video
01:22:11
Majilisi za Ramadhani الثبات على العمل الصالح بعد رمضان 🔴DARSA: Kuthibiti juu ya Amali Njema
Darsa ilifanyika Ramadhani 25, 1447H Jumamosi Machi 14, 2026 Kuthibiti juu ya amali njema baada ya Ramadhani الثبات على العمل الصالح بعد رمضان
Play Video
Play Video
01:15:19
Majilisi za Ramadhani ما هي السلفية🔴DARSA: بَعْضٌ المُسَمَّيَاتِ لِلسَّلَفِ الصَّالِحِ UstAbu Arqam
Darsa ilifanyika Ramadhani 19, 1447H Jumapili Machi 08, 2026 Usalafi ndio nini?! ما هي السلفية Utangulizi المُقََدِّمَة Ubainifu wa neno Salaf katika Lugha ya Kiarabu: بَيَانُ مَعْنَى السَّلَفُ فِي الُّلغَةِ Ni akina nani ndio Masalafi (yaani: Maana) katika istilahi مَن هُمُ السَّلَفُ اصْطِلاَحًا؟ Baadhi ya Majina ya Kisharia wanayoitwa Salaf Swaleh بَعْضٌ المُسَمَّيَاتِ الشَّرْعِيَّةِ لِلسَّلَفِ الصَّالِحِ Hukumu ya Kufuata na Kujinasibisha na Usalafi حُكْمُ اتِّبَاعِ والانْتِسَابِ إِلَى السَّلَفِيَّةِ Fadhila (ubora) za Kufuata Salaf na Usalafi فَضْلُ اتِّبَاعِ السَّلَفِ والسَّلَفِيَّةِ Alama na Nembo za Manhaji ya Salaf na Usalafi سِمَاتُ وَمَعَالِمُ المَنْهَجِ السَّلَفِي والسَّلَفِيَّةِ Hitimisho الخَاتِمَةُ
Play Video
Play Video
01:41:02
Majilisi za Shahari ya Ramadhani 🔴LIVE DARSA إستغلال الليالي العشر Ahmad Mohamed Kassa
Darsa ilifanyika Ramadhani 19, 1447H Jumapili Machi 08, 2026 Kutumia Fursa ya Masiku Kumi ya Mwisho ya Shahari ya Ramadhani إستغلال الليالي العشر Kuhuisha Usiku wa Qadr إحياء ليلة القدر
Play Video
Play Video
01:01:34
Majilisi za Ramadhani ما هي السلفية🔴DARSA: (II) مَن هُمُ السَّلَفُ اصْطِلاَحًا؟ Ust. Abu Arqam
Darsa ilifanyika Ramadhani 181, 1447H Jumamosi Machi 07, 2026 SEHEMU YA PILI Usalafi ndio nini?! ما هي السلفية Utangulizi المُقََدِّمَة Ubainifu wa neno Salaf katika Lugha ya Kiarabu: بَيَانُ مَعْنَى السَّلَفُ فِي الُّلغَةِ Ni akina nani ndio Masalafi (yaani: Maana) katika istilahi مَن هُمُ السَّلَفُ اصْطِلاَحًا؟ Baadhi ya Majina ya Kisharia wanayoitwa Salaf Swaleh بَعْضٌ المُسَمَّيَاتِ الشَّرْعِيَّةِ لِلسَّلَفِ الصَّالِحِ Hukumu ya Kufuata na Kujinasibisha na Usalafi حُكْمُ اتِّبَاعِ والانْتِسَابِ إِلَى السَّلَفِيَّةِ Fadhila (ubora) za Kufuata Salaf na Usalafi فَضْلُ اتِّبَاعِ السَّلَفِ والسَّلَفِيَّةِ Alama na Nembo za Manhaji ya Salaf na Usalafi سِمَاتُ وَمَعَالِمُ المَنْهَجِ السَّلَفِي والسَّلَفِيَّةِ Hitimisho الخَاتِمَةُ
Play Video
Play Video
01:02:26
Majilisi za Ramadhani ما هي السلفية🔴DARSA: مَن هُمُ السَّلَفُ اصْطِلاَحًا؟ Ust. Abu Arqam
Darsa ilifanyika Ramadhani 12, 1447H Jumapili Machi 01, 2026 Usalafi ndio nini?! ما هي السلفية Utangulizi المُقََدِّمَة Ubainifu wa neno Salaf katika Lugha ya Kiarabu: بَيَانُ مَعْنَى السَّلَفُ فِي الُّلغَةِ Ni akina nani ndio Masalafi (yaani: Maana) katika istilahi مَن هُمُ السَّلَفُ اصْطِلاَحًا؟ Baadhi ya Majina ya Kisharia wanayoitwa Salaf Swaleh بَعْضٌ المُسَمَّيَاتِ الشَّرْعِيَّةِ لِلسَّلَفِ الصَّالِحِ Hukumu ya Kufuata na Kujinasibisha na Usalafi حُكْمُ اتِّبَاعِ والانْتِسَابِ إِلَى السَّلَفِيَّةِ Fadhila (ubora) za Kufuata Salaf na Usalafi فَضْلُ اتِّبَاعِ السَّلَفِ والسَّلَفِيَّةِ Alama na Nembo za Manhaji ya Salaf na Usalafi سِمَاتُ وَمَعَالِمُ المَنْهَجِ السَّلَفِي والسَّلَفِيَّةِ Hitimisho الخَاتِمَةُ
Play Video
Play Video
01:15:15
Majilisi za Shahari ya Ramadhani 🔴 DARSA الْمُؤْمِنُ وَالتَّغْيِيرُ نَحْوَ الأَفْضَلِ Ust Hassan
Darsa ilifanyika Ramadhani 12, 1447H Jumapili Machi 01, 2026 Ramadhani: Muumini na mabadiliko kuelekea kwenye ubora zaidi الْمُؤْمِنُ وَالتَّغْيِيرُ نَحْوَ الأَفْضَلِ
Contact
bottom of page