top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
44:40
Darsa: الاستعداد لشهر رمضان 🔴 LIVE | DARSA (V) Maandalizi ya Ramadhani Sh. Salim Issa Kirungi
Darsa ilifanyika Sha'bani 29, 1447H Jumanne Febuari 17, 2026 SEHEMU YA TANO Maandalizi ya Ramadhani الاستعداد لشهر رمضان
Play Video
Play Video
01:02:57
Darsa: الاستعداد لشهر رمضان 🔴 LIVE | DARSA (IV) Maandalizi ya Ramadhani Sh. Salim Issa Kirungi
Darsa ilifanyika Sha'bani 28, 1447H Jumatatu Febuari 16, 2026 SEHEMU YA NNE Maandalizi ya Ramadhani الاستعداد لشهر رمضان
Play Video
Play Video
02:06:45
Darsa: أتاكم رمضان شهر مبارك 🔴LIVE | Umekujieni Mwezi wa Ramadhani Sheikh Dr Hakizimana Nasser
Darsa ilifanyika Sha'bani 27, 1447H Jumapili Febuari 15, 2026 أتاكم رمضان شهر مبارك: أسئلة و أجوبة شائعة حول صيام رمضان Umekujieni Mwezi wa Ramadhani: Maswali na Majibu ya Kawaida Kuhusu Saumu ya Ramadhani
Play Video
Play Video
01:48:08
Darsa: حق العلماء 🔴LIVE | Haki za Ulamaa Ust. Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 27, 1447H Jumapili Febuari 15, 2026 Haki za Wanazuoni حقوق العلماء Hadhi (nafasi/manzili) ya wanazuoni katika Uislamu haina kifani (yaani: hakuna hadhi wala nafasi wala daraja au cheo kinachoweza kuwa juu ya daraja hiyo); wanazuoni ndio warithi wa Manabii, na ndio wabebaji wa elimu, na wasimamizi (waaminifu) na wadhamini wa Allah kwa Sharia Yake. Na pale anapokufa mwanazuoni mmoja, basi hupelekea kuwepo kwa pengo (mwanya/ufa) katika Uislamu, mwanya ambao huwa hakuna uwezekano wa kuuziba hadi Siku ya Kiyama. Kupitia kwao, Allah Huhuisha Ummah na Kuwatoa watu kutoka kwenye viza vya ujinga na kuwapeleka kwenye Nuru ya Imani na amali njema; kwa hivyo basi, ndio Sharia ikaweka mikakati ya kuadhimisha na kutukuza haki zao na kutahadharisha bali kuonya dhidi ya kwenda kinyume kwa kutowaheshimu na kutotambua haki na heshima waliyopewa na Sharia. Miongoni mwa haki za Wanazuoni ni: 1. Kuwatukuza, na kuwaheshimu تعظيمهم واحترامهم وتوقيرهم 2. Kuwapenda محبتهم وتوليهم 3.Kuwaombea dua na kuwasifu الدعاء لهم والثناء عليهم 4. الرجوع إليهم، والصدور عن رأيهم، لاسيما في الفتن والنوازل Kurudi kwao na kutanguliza rai na maoni yao hususan nyakati za fitna na majanga. 5. Kuwatii katika maarufu طاعتهم في المعروف 6.Kutaka ushauri kwao na kuwatanguliza kuliko wengineo katika majilisi استشارتهم وتقديمهم على غيرهم في المجالس 7.Kuwadhania (kuwafikiria) vyema إحسان الظن بهم 8. Kuwapa nasaha بذل النصيحة لهم 10.Kulinda heshima yao na kuwatetea kwa ukweli صون أعراضهم والذب عنهم بالحق
Play Video
Play Video
01:09:45
Darsa: صحيح البخاري 🔴 LIVE | DARSA (IV) رَاوِي الحَدِيثِ : مالك بن أنس Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 26, 1447H Jumamosi Febuari 14, 2026 باب كَيْفَ كَانَ بَدْءُ الْوَحْىِ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم Mlango: Namna ya Wahyi Ulivyoanza kwa Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) HADITHI YA PILI حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ، قَالَ أَخْبَرَنَا مَالِكٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها ـ أَنَّ الْحَارِثَ بْنَ هِشَامٍ ـ رضى الله عنه ـ سَأَلَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَقَالَ يَا رَسُولَ اللَّهِ كَيْفَ يَأْتِيكَ الْوَحْىُ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " أَحْيَانًا يَأْتِينِي مِثْلَ صَلْصَلَةِ الْجَرَسِ ـ وَهُوَ أَشَدُّهُ عَلَىَّ ـ فَيُفْصَمُ عَنِّي وَقَدْ وَعَيْتُ عَنْهُ مَا قَال وَأَحْيَانًا يَتَمَثَّلُ لِيَ الْمَلَكُ رَجُلاً فَيُكَلِّمُنِي فَأَعِي مَا يَقُولُ ". قَالَتْ عَائِشَةُ رضى الله عنها وَلَقَدْ رَأَيْتُهُ يَنْزِلُ عَلَيْهِ الْوَحْىُ فِي الْيَوْمِ الشَّدِيدِ الْبَرْدِ، فَيَفْصِمُ عَنْهُ وَإِنَّ جَبِينَهُ لَيَتَفَصَّدُ عَرَقًا. Ametuhadithia Abdullahi bin Yusuf, amesema: ametupasha habari Malik kutokana na Hishami bin 'Urwah kutokana na baba ake, kutokana na Aishah Mama wa Waumini (رضي الله عنها) kwamba: Al-Harith bin Hisham (رضي الله عنه) alimuuliza Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) kwa kusema: 'Ewe Rasuli wa Allah! Vipi unakujia Wahyi?” Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) akamjibu kwa kusema: “Wakati mwengine unanijia kama sauti ya kengele, aina hii ya Wahyi ni shadidi -ngumu- zaidi kwangu kuliko zote na kisha hali hiyo hunipitia baada ya kuwa nimeshafahamu kile nilichofunuliwa; wakati mwingine Malaika huja katika umbile la rajuli, hunisemresha na kuyaelewa anayosema.” Aaishah (رضي الله عنها) amesema: 'Kwa hakika nilimwona (Rasuli wa Allah صلى الله عليه وآله وسلم) akiletewa Wahyi siku ya baridi kali na akaona jasho likimdondoka usoni (baada ya kumalizika Wahyi). Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Abdullahi bin Yusuf (Rahimahullahu) عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ 2. Malik bin Anas bin Malik (Rahimahullahu) مالك بن أنس بن مالك 3. Hishami bin 'Urwah (Rahimahullahu) هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ 4. 'Urwah bin Az Zubair (Rahimahullahu) عُرْوَةَ بنِ الزُّبَيْرِ بنِ العَوَّامِ 5. Aishah Ummul Muminina (Allah Awe Radhi Nae) عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها Msimulizi wa Hadithi: Malik bin Anas bin Malik مالك بن أنس بن مالك الاسم: مالك بن أنس بن مالك (مالك بن أنس بن مالك بن أبي عامر بن عمرو بن الحارث بن غيمان بن خثيل بن عمرو بن الحارث) الكنية: أبو عبد الله النسب: الأصبحي، الحميري، المدني، التيمي، اليمني بلد الإقامة: المدينة علاقات الراوي: حليف عثمان بن عبيد الله القرشي، وكاتبه عيسى بن كنانة، وأمه العالية بنت شريك بن عبد الرحمن بن شريك الأزدية، وأخوه النضر، وعمه أبو سهيل نافع بن مالك تاريخ الميلاد: 92 هـ، أو 93، أو 94 هـ، أو 95 هـ تاريخ الوفاة: 178 هـ، أو 179 هـ بلد الميلاد: ذي المروة بلد الوفاة: المدينة بلد الرحلة: مكة، مصر طبقة رواة التقريب: السابعة الرتبة عند ابن حجر: الفقيه، إمام دار الهجرة، رأس المتقنين، وكبير المتثبتين الرتبة عند الذهبي: الإمام
Play Video
Play Video
53:45
Darsa: Mirathi (IV) أَنْوَاعُ الإِِرْثِ 🔴 LIVE Dr. Ibrahim Bulushi CEO Kamisheni ya Waqfu Kenya
Darsa ilifanyika Sha'bani 26, 1447H Jumamosi Febuari 14, 2026 أَنْوَاعُ الإِِرْثِ Aina za urithi/Kurithi وَاعْلَمْ بأنَّ الإِرْثَ نوْعانِ Elewa kuwa Kurithi huko aina (namna) MBILI (2) Na fahamu kuwa urithi ni wa aina mbili. NAMNA YA KWANZA: إرث بالفرض KURITHI KWA FAR-DHU (Yaani: viwango vilivyoainishwa kwenye Qur-aani kuwa ni vya mrithi sheria). Viwango vilivyoainishwa kwenye Qur-aani ni SITA (6): الفروض المقدرة في كتاب الله تعالى ستة هي : 1. NUSU (1/2) النِّصْفُ 2. SUDUSI (1/6) السُّدُسُ 3. THELUTHI (1/3) الثُّلُثُ 4. THELUTHI MBILI (2/3) الثلثان 5. ROBO (1/4) الرُّبُع 6. THUMNI (1/8) الثُّمُن وهناك فرض ثبت بالاجتهاد وهو ثلث الباقي Na kuna FAR-DHU uliyothibiti kwa IJ-TIHADI, ambayo ni THELUTHI ILIYOBAKI. 7. THELUTHI ILIYOSALIA (ILIYOBAKI) ثلث الباقي NAMNA YA PILI: إرث بالتعصيب KURITHI KWA TA’SWIBU: (Yaani: viwango visivyoainishwa kwenye Qur-aani). Aayah zenye kuainisha (FAR-DHU) ya ROBO (1/4) ﴾ فَإِن كَانَ لَهُنَّ وَلَدٌ فَلَكُمُ الرُّبُعُ مِمَّا تَرَكْنَ ۚ ﴿١٢ "Na ikiwa (WAKE ZENU) wana WALAD, basi mtastahiki ROBO katika walichoacha.."An Nisaa 4:12 وَلَهُنَّ الرُّبُعُ مِمَّا تَرَكْتُمْ إِن لَّمْ يَكُن لَّكُمْ وَلَدٌ ۚ " .... Nao WAKE ZUNU watastahiki ROBO katika mlichoacha ikiwa hamna WALAD " An Nisaa 4:12 Aayah zenye kuainisha (FAR-DHU) ya THUMNI (1/8) ﴾فَإِن كَانَ لَكُمْ وَلَدٌ فَلَهُنَّ الثُّمُنُ مِمَّا تَرَكْتُم ۚ...... ﴿١٢ "Na ikiwa (NYINYI WAUME) mna WALAD, basi (WAKE ZENU) watastahiki THUMNI katika mlichoacha, baada ya kutoa wasia mliousia au kulipa deni... " An Nisaa 4:12
Play Video
Play Video
01:06:55
Darsa: كيف تستعد لاستقبال شهر رمضان؟ 🔴 LIVE | DARSA Unajiandaa Vipi Kuipokea Shahari Ramadhani
Darsa ilifanyika Sha'bani 25, 1447H Ijumaa Febuari 13, 2026 كيف تستعد لاستقبال شهر رمضان؟ Unajiandaa Vipi Kuipokea Shahari Ramadhani? Shahari Ramadhani ni shahari ambao tunatimiza nguzo mojawapo miongoni mwa nguzo za Kiislamu. Ni shahari iliojaa baraka, kheri na rehma. Ni shahari wenye mambo mengi mazuri na ya kuvutia kwa kila Muumini wa Allah na Siku ya Mwisho; miongoni mwake ni kama haya: 1. شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ "Shahari Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur-aani ili iwe mwongozo kwa watu na hoja bayana za mwongozo na pambanuo (la haki na batili". Baqarah 2:185. 2. عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، - رضى الله عنه - أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ: إِذَا جَاءَ رَمَضَانُ فُتِّحَتْ أَبْوَابُ الْجَنَّةِ وَغُلِّقَتْ أَبْوَابُ النَّارِ وَصُفِّدَتِ الشَّيَاطِينُ " . Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم amesema, "Pindi inapokuja Ramadhani milango ya Jannah hufunguliwa, na hufungwa milango ya moto, na mashetani wanafungwa kwa Minyororo." :عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ " وَمَنْ صَامَ رَمَضَانَ إِيمَانًا وَاحْتِسَابًا غُفِرَ لَهُ مَا تَقَدَّمَ مِنْ ذَنْبِهِ . "Mwenye kufunga (Saumu ya) Ramadhani kwa imani na kutaraji malipo, basi ataghufuriwa dhambi zake zilizotangulia" Wamewafikiana Bukhari na Muslim. Swali hapa ni hili: Unajiandaa Vipi Kuipokea Shahari Ramadhani?
Play Video
Play Video
01:09:28
Darsa: المنظومة الحائيةِ 🔴LIVE| (III) وَقُلْ: غَيْرُ مَخْلُوْقٍ كَلاَمُ مَلِيْكِنَا Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 25, 1447H Ijumaa Febuari 13, 2026 الحمد لله رب العالمين، وصلى الله وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين شرح المنظومة الحائية في عقيدة أَهْلِ السُّنَّةِ وَالجَمَاعَةِ لابن أبي داود لابن أبي داود Sharhu ya shairi (utenzi wa) Haaiyyah kuhusiana na Itikadi/Aqidah ya Ahali wa Sunnah na Jamaa’h َ قُلْ: غَيْرُ مَخْلُوْقٍ كَلاَمُ مَلِيْكِنَا Na Sema: ‘Ghairi (yaani: Si) mahuluku Maneno ya Maliki (yaani: Mfalme) Wetu’ بِذَلِكَ دَانَ الأَتْقِيَاءُ وَأَفْصَحُوا kwa itikadi hiyo waliitekeleza Dini wenye taqwa na kwa ufasaha wakaifikisha.
Contact
bottom of page