top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:07:34
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE| DARSA (II) باب: الحلم والأناة والرفق Sh Salim
Darsa ilifanyika Rabi'uth Thani 05, 1448 H Jumatano Septemba 16, 2026 SEHEMU YA PILI Mlango wa upole, umakini na utaratibu باب الحلم والأناة والرفق قَالَ الله تَعَالَى ﴾ وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ ۗ وَاللَّـهُ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ ﴿١٣٤ "Na wanazuia ghadhabu, na wenye kusamehe watu; na Allah Anawapenda Muhsinina" . [Aal-'Imraan 3:136] ﴾خُذِ الْعَفْوَ وَأْمُرْ بِالْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ الْجَاهِلِينَ ﴿١٩٩ "Shikamana na usamehevu, na amrisha mema na jiepushe na majahili." [Al-A;raaf 7:199] ﴾ وَلَا تَسْتَوِي الْحَسَنَةُ وَلَا السَّيِّئَةُ ۚ ادْفَعْ بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ فَإِذَا الَّذِي بَيْنَكَ وَبَيْنَهُ عَدَاوَةٌ كَأَنَّهُ وَلِيٌّ حَمِيمٌ﴿٣٤ "Na wala haulingani sawa wema na uovu, lipiza (uovu) kwa ambalo ni zuri zaidi; tahamaki yule ambaye baina yako na baina yake kuna uadui, atakuwa kama ni rafiki mwandani." [Fusw-swilat 41:34] ﴾وَمَا يُلَقَّاهَا إِلَّا الَّذِينَ صَبَرُوا وَمَا يُلَقَّاهَا إِلَّا ذُو حَظٍّ عَظِيمٍ﴿٣٥ "Na hapewi hayo isipokuwa wale waliosubiri, na hapewi hayo isipokuwa mwenye fungu adhimu." [Fusw-swilat 41:35] ﴾وَلَمَن صَبَرَ وَغَفَرَ إِنَّ ذَٰلِكَ لَمِنْ عَزْمِ الْأُمُورِ﴿٤٣ "Na atakaesubiri na akasamehe, hakika hilo bila shaka ni katika mambo ya kuazimiwa." [Ash-Shuwraa 42:43].
Play Video
Play Video
01:04:48
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE| DARSA (I) باب: الحلم والأناة والرفق Sh Salim
Darsa ilifanyika Rabi'uth Thani 04, 1448 H Jumanne Septemba 15, 2026 SEHEMU YA KWANZA Mlango wa upole, umakini na utaratibu باب الحلم والأناة والرفق قَالَ الله تَعَالَى ﴾ وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ ۗ وَاللَّـهُ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ ﴿١٣٤ "Na wanazuia ghadhabu, na wenye kusamehe watu; na Allah Anawapenda Muhsinina" . [Aal-'Imraan 3:136] ﴾خُذِ الْعَفْوَ وَأْمُرْ بِالْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ الْجَاهِلِينَ ﴿١٩٩ "Shikamana na usamehevu, na amrisha mema na jiepushe na majahili." [Al-A;raaf 7:199] ﴾ وَلَا تَسْتَوِي الْحَسَنَةُ وَلَا السَّيِّئَةُ ۚ ادْفَعْ بِالَّتِي هِيَ أَحْسَنُ فَإِذَا الَّذِي بَيْنَكَ وَبَيْنَهُ عَدَاوَةٌ كَأَنَّهُ وَلِيٌّ حَمِيمٌ﴿٣٤ "Na wala haulingani sawa wema na uovu, lipiza (uovu) kwa ambalo ni zuri zaidi; tahamaki yule ambaye baina yako na baina yake kuna uadui, atakuwa kama ni rafiki mwandani." [Fusw-swilat 41:34] ﴾وَمَا يُلَقَّاهَا إِلَّا الَّذِينَ صَبَرُوا وَمَا يُلَقَّاهَا إِلَّا ذُو حَظٍّ عَظِيمٍ﴿٣٥ "Na hapewi hayo isipokuwa wale waliosubiri, na hapewi hayo isipokuwa mwenye fungu adhimu." [Fusw-swilat 41:35] ﴾وَلَمَن صَبَرَ وَغَفَرَ إِنَّ ذَٰلِكَ لَمِنْ عَزْمِ الْأُمُورِ﴿٤٣ "Na atakaesubiri na akasamehe, hakika hilo bila shaka ni katika mambo ya kuazimiwa." [Ash-Shuwraa 42:43].
Play Video
Play Video
01:01:35
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE| DARSA (III) حسن الخلق Sh Salim
Darsa ilifanyika Rabi'uth Thani 03, 1448 H Jumatatu Septemba 14, 2026 SEHEMU YA TATU Mlango Wa Tabia Njema باب حسن الخلق :قَالَ الله تَعَالَى ﴾وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٍ ﴿٤ "Na hakika wewe uko juu ya kiwango adhimu cha akhalaqi njema." [Al-Qalam 68:4] ﴾ وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ ۗ ﴿١٣٤ "Na wanazuia ghadhabu, na wenye kusamehe watu." [Aal-'Imraan 3:134]
Play Video
Play Video
01:06:03
DARSA:الجامع لعبادة الله وحده🔴DARSA: Kukhofu الرَّهْبَةُ na Kuabudu التَْأَلُّهُ Ust Bin Masoud
Darsa ilifanyika Rabi'uth Thani 02, 1447H Jumapili Septemba 13, 2026 الجامع لعبادة الله وحده Al Jaami'u (Kusanyo lenye Kuhusiana na) Ibada kwa Ajili ya Allah Pekee Kanuni Kamili za Kumuabudu Allah Pekee فإن قيل : فما الجامع لعبادة الله وحده؟ Aina za Ibada ni nyingi, kubwa yao ni Dua أنواع العبادة كثيرة أعظمها : الدعاء Dua الدعاء Kuomba/kutaka/kutafuta msaada الاستعانة Kutafuta uwokovu الاستغاثة Kuchinja Qur bani (katika hali ya kujikurubisha) ذبح القربان Nadhiri النذر Hofu/khofu الخوف Kutarajia/Tarajia (kuwa na matumaini ya kupata heri) والرجاء Tawakali (Kutawakali/kutegemea) والتوكل Kurejea kwa Allah الإنابة Mahaba المَحَبَّة Khash-yah (Kumuogopa Allah) الخَشْيَةُ Raghba (Shauku/hamu) الرَّغْبَةٌ Kukhofu الرَّهْبَةُ Kadhalika Hofu ni aina katika aina za khofu والرهبة هي كذلك نوع من الخوف ﴾وَإِيَّايَ فَارْهَبُونِ ﴿٤٠ "Na Mimi Pekee niogopeni." [Al Baqatsh 2:40] يجب أن ترهب الله وتخاف من الله وتخشى الله Ni lazima umuogope Allah, na umukhofu, na umuogope Allah kwa maarifa ولا ترهب المخلوقين رهبة تجعلهم في منزلة الله أو يساوون الله na wala usiwaogope mahuluku -viumbe- muogopoi unaowaweka katika manzili -nafasi sawa na ya Allah, au kuwafanya wawe sawa na Allah لا ترهب منهم فتترك طاعة الله من أجلهم Usiwaogope hadi kufikia hatua ya kuacha kumtii Allah kwa minajili yao. Kuabudu - التَْأَلُّهُ -التَْعَبُّدُ Kurukuu الركوع Kusujudu السجود
Play Video
Play Video
02:25:32
Darsa: الصدمات النفسية 🔴LIVE DARSA| TRAUMA (Kihoro) na AFYA ya AKILI (I)
Darsa ilifanyika Rabi'uth Thani 02, 1447H Jumapili Septemba 13, 2026 SEHEMU YA KWANZA الصدمات النفسية كيف تؤثر الصدمة النفسية في الجسد، العقل، النَّفْس، القلب، و الإيمان؟ من منظور علم النفس الإسلامي TRAUMA (Kihoro) na afya ya akili (Mental Health) Jinsi kihoro kinavyoathiri mwili, akili, nafsi, moyo na imani Trauma/kihoro/kiwewe: KWANZA: Maana yake ni: Huzuni kubwa inayoweza kupatikana kutokana na kufikwa na jambo la msiba. Kihoro/kiwewe cha kisaikolojia au kiwewe cha kihisia ni mwitikio wa kihisia unaotokea baada ya mtu kufikiwa au kupatwa na tukio la kushtua au la kuogofya, au kupitia uzoefu wenye uchungu unaoambatana na madhara ya kisaikolojia na pengine kimwili. Aina za kihoro/majeraha ya kisaikolojia: 1. Kihoro/kiwewe cha papo kwa hapo: Kihoro cha papo kwa hapo kinafafanuliwa kama ni mwitikio wa kihisia unaotokana na kufikwa au kupatwa na tukio mahususi la kihoro. 2. Kihoro cha kudumu ni: Mwitikio wa kihisia wa muda mrefu unaotokana na mfiduo unaorudiwa na unaoendelea kwa matukio hatari na ya mkazo kwa miezi au miaka. Kama vile unyanyasaji wa watoto, uonevu, au unyanyasaji wa majumbani. 3.Kihoro kigumu ni: Hali ya kihoro cha kisaikolojia ambayo hutokea kutokana na kufikwa na mfululizo wa matukio au hali zenye uchungu na kuacha athari ya kudumu kwenye nafsi. PILI: Athari zake TATU: Tiba/Matibabu yake NNE: Mtazamo wa Kiislamu na wa kisaikolojiakuhusiana na kihoro/kiwewe.
Play Video
Play Video
01:17:52
DARSA:الجامع لعبادة الله وحده🔴DARSA:Kumuogopa Allah الخَشْيَةُ na Raghba الرَّغْبَةٌ Ust Bin Masoud
Darsa ilifanyika Rabi'uth Thani 01, 1448 H Jumamosi Septemba 12, 2026 الجامع لعبادة الله وحده Al Jaami'u (Kusanyo lenye Kuhusiana na) Ibada kwa Ajili ya Allah Pekee Kanuni Kamili za Kumuabudu Allah Pekee فإن قيل : فما الجامع لعبادة الله وحده؟ Aina za Ibada ni nyingi, kubwa yao ni Dua أنواع العبادة كثيرة أعظمها : الدعاء Dua الدعاء Kuomba/kutaka/kutafuta msaada الاستعانة Kutafuta uwokovu الاستغاثة Kuchinja Qur bani (katika hali ya kujikurubisha) ذبح القربان Nadhiri النذر Hofu/khofu الخوف Kutarajia/Tarajia (kuwa na matumaini ya kupata heri) والرجاء Tawakali (Kutawakali/kutegemea) والتوكل Kurejea kwa Allah الإنابة Mahaba المَحَبَّة Khash-yah (Kumuogopa Allah) الخَشْيَةُ Khash-yah: ni aina katika aina za khofu الخشية : هي نوع من الخوف ﴾فَلَا تَخْشَوْهُمْ وَاخْشَوْنِي وَلِأُتِمَّ نِعْمَتِي عَلَيْكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَهْتَدُونَ ﴿١٥٠ "Basi msiwaogope bali Niogopeni Mimi ..." [Al Baqarah 2:150]. فلا تقدم خشية المخلوق على خشية الله Usikadimishe khofu ya kumuogopa mahuluku mbele ya khofu ya kumuogopa Allah ﴾الَّذِينَ يُبَلِّغُونَ رِسَالَاتِ اللَّـهِ وَيَخْشَوْنَهُ وَلَا يَخْشَوْنَ أَحَدًا إِلَّا اللَّـهَ ۗ...... ﴿٣٩ "Wale wanaobalighisha Ujumbe wa Allah na wanamkhofu Yeye na wala hawamkhofu mmoja yeyote yule isipokuwa Allah.."[Al Ahzaab 33:39]. Raghba (Shauku/hamu) الرَّغْبَةٌ Raghba inaelekezwa kwa Allah فالرغبة تكون إلى الله جل وعلا Nayo ni kuwa na shauku/tamaa na yale yaliyoko Kwake وهي الطمع فيماعنده ﴾إِنَّا إِلَى اللَّـهِ رَاغِبُونَ﴿٥٩ "Hakika sisi kwa Allah tuna raghba." [At Tawbah 9:59] وهي الرغبة فيما عند الله ، والتعلق بالله ، فإذا رغب فيما عند الله حمله ذلك على طاعة الله، وتقديم رضا الله Ni raghba kwa yale yaliyoko kwa Allah, na kufungamana na Allah; hivyo basi pale mtu atakapokuwa na shauku/hamu na yale yalioko kwa Allah, hii itampelekea kumtii Allah na kukadimisha yale yenye kuridhiwa na Allah.
Play Video
Play Video
01:04:29
Darsa: اعْلَمْ أنَّ مِنْ أَعْظَمِ نَوَاقِضِ الإِسْلَامِ عَشْرَةَ 🔴DARSA | (III) الشرك في عبادة الله
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 29, 1448 H Ijumaa Septemba 11, 2026 SEHEMU YA TISA Vitenguzi vya kalimat -neno la-Tawhidi نَوَاقِضُ لَا إِلَهَ إِلاَّ اللهِ Vitenguzi vya Tawhidi نَوَاقِضُ التَّوْحِيد Vitenguzi vya Uislamu نَوَاقِضُ الِإسْلاَم اعْلَمْ أنَّ مِنْ أَعْظَمِ نَوَاقِضِ الإِسْلَامِ عَشْرَةَ Elewa kwamba katika vitenguzi VIKUBWA kabisa vya Uislamu ni mambo KUMI. Elewa na tambua na uwe na yakini ya kwamba Uislamu wa mtu unatenguka kwa kufanya moja lolote lile miongoni mwa mambo kumi yenye kutengua Uislamu. Vitenguzi vya KUMI Uislamu النواقض الِإسْلاَم العشرة Kitenguzi cha Kwanza: Kumshirikisha Allah katika Ibada ya Allah الأول: الشرك في عبادة الله Allah تَعَالَى Amesema: ﴾إِنَّ اللَّـهَ لَا يَغْفِرُ أَن يُشْرَكَ بِهِ وَيَغْفِرُ مَا دُونَ ذَٰلِكَ لِمَن يَشَاءُ ۚ ... ﴿٤٨ "Hakika Allah Haghufurii kushirikishwa, lakini Anaghufuria yasiyokuwa hayo kwa Amtakae..." [An Nisaa 4:47] Allah تَعَالَى Amesema: ﴾ إِنَّهُ مَن يُشْرِكْ بِاللَّـهِ فَقَدْ حَرَّمَ اللَّـهُ عَلَيْهِ الْجَنَّةَ وَمَأْوَاهُ النَّارُ ۖ وَمَا لِلظَّالِمِينَ مِنْ أَنصَارٍ﴿٧٢ "Hakika mwenye kumshirikisha Allah bila shaka Allah Atamharamishia Jannah, na makazi yake yatakuwa ni Nari (Motoni), na madhalimu hawatopata yeyote yule mwenye kunusuru.” [Al Maaidah 5: 72].
Play Video
Play Video
01:01:39
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE| DARSA (II) حسن الخلق Sh Salim
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 27, 1448 H Jumatano Septemba 09, 2026 SEHEMU YA PILI Mlango Wa Tabia Njema باب حسن الخلق :قَالَ الله تَعَالَى ﴾وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٍ﴿٤ "Na hakika wewe uko juu ya kiwango adhimu cha akhalaqi njema." [Al-Qalam 68:4] ﴾ وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ ۗ ﴿١٣٤ "Na wanazuia ghadhabu, na wenye kusamehe watu." [Aal-'Imraan 3:134]
Contact
bottom of page