top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:01:42
DARSA: الجامع لعبادة الله وحده 🔴DARSA: Kuomba uwokovu الاستغاثة (III) Ust Abu Arqam Ali bin Masoud
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 20, 1448 H Jumatano Septemba 02, 2026 SEHEMU YA TATU الجامع لعبادة الله وحده Al Jaami'u (Kusanyo lenye Kuhusiana na) Ibada kwa Ajili ya Allah Pekee Kanuni Kamili za Kumuabudu Allah Pekee فإن قيل : فما الجامع لعبادة الله وحده؟ Aina za Ibada ni nyingi, kubwa yao ni Dua أنواع العبادة كثيرة أعظمها : الدعاء Kuomba/kutaka/kutafuta msaada الاستعانة Kutafuta uwokovu الاستغاثة الاستغاثة : نوع من الاستعانة لكنها أخص Kutafuta (msaada wa) uokovu ni: aina ya kuomba usaidizi, walakini ni mahususi (maalumu zaidi). فالاستعانة عامة والاستغاثة خاصة ؛ لأنها لا تكون إلا في أمور الشدة Kuomba Usaidizi الاستعانة ni wa jumla, na kuomba uokovu الاستغاثة ni hasa (maalumu) kwa kuwa huiwi isipokuwa kwenye mambo (masuala) ya shida (dhiki). ﴾إِذْ تَسْتَغِيثُونَ رَبَّكُمْ فَاسْتَجَابَ لَكُمْ ﴿٩ "Na (kumbukeni pale) mlipomuomba uokovu Rabi wenu Naye Akakuitikieni ..." [Al Anfaal 8:9]
Play Video
Play Video
01:09:15
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE DARSA (I) باب تحريم الكبر والإعجاب Sh Salim
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 20, 1448 H Jumatano Septemba 02, 2026 SEHEMU YA KWANZA Mlango wa Kuharamishwa Kiburi na Kujiona باب تحريم الكبر والإعجاب :قَالَ الله تَعَالَى ﴾تِلْكَ الدَّارُ الْآخِرَةُ نَجْعَلُهَا لِلَّذِينَ لَا يُرِيدُونَ عُلُوًّا فِي الْأَرْضِ وَلَا فَسَادًا ۚ وَالْعَاقِبَةُ لِلْمُتَّقِينَ ﴿٨٣ "Hiyo ni nyumba ya Akhera, Tunaijaalia kwa wale wasiotaka kujitukuza katika ardhi na wala ufisadi; na hatima njema ni kwa wenye taqwa." [Al-Qaswasw : 83] ﴾وَلَا تَمْشِ فِي الْأَرْضِ مَرَحًا ۖ ﴿٣٧ "Na wala usitembee katika ardhi kwa majivuno." [Al-Israa: 37] ﴾وَلَا تُصَعِّرْ خَدَّكَ لِلنَّاسِ وَلَا تَمْشِ فِي الْأَرْضِ مَرَحًا ۖ إِنَّ اللَّـهَ لَا يُحِبُّ كُلَّ مُخْتَالٍ فَخُورٍ ﴿١٨ "Na wala usiwageuzie watu uso wako kwa kiburi, na wala usitembee katika ardhi kwa maringo, hakika Allah Hampendi kila mwenye kujivuna mwenye kujifakharisha." [Luqmaan: 18] إِنَّ قَارُونَ كَانَ مِن قَوْمِ مُوسَىٰ فَبَغَىٰ عَلَيْهِمْ ۖ وَآتَيْنَاهُ مِنَ الْكُنُوزِ مَا إِنَّ مَفَاتِحَهُ لَتَنُوءُ بِالْعُصْبَةِ أُولِي الْقُوَّةِ ﴾إِذْ قَالَ لَهُ قَوْمُهُ لَا تَفْرَحْ ۖ إِنَّ اللَّـهَ لَا يُحِبُّ الْفَرِحِينَ ﴿٧٦ "Hakika Qaaruna alikuwa miongoni mwa kaumu ya Musa, walakini aliwafanyia uonevu kwa kutakabari; na Tulimpa katika hazina ambazo funguo zake zinalemea kundi la watu wenye nguvu (kuzibeba); (kumbuka pale) walipomwambia watu wake: Usifurahi kwa kujigamba; hakika Allah Hapendi wanaofurahi kwa kujigamba." [Al-Qaswasw: 76] ﴾فَخَسَفْنَا بِهِ وَبِدَارِهِ الْأَرْضَ ﴿٨١ "Basi Tukamdidimiza yeye na nyumba yake ardhini" [Al-Qaswasw: 81]
Play Video
Play Video
01:08:23
Mhadhara: إِصْلَاحُ أَنْفُسِنا وَمُجْتَمَعَاتِنَا 🔴 Kuzitengeneza nafsi zetu Ust Abu Arqam
Mhadhara ulifanyika Rabi'ul Awwal 19, 1448 H Jumanne Septemba 01, 2026 Kuzitengeneza nafsi zetu na jamii zetu إِصْلَاحُ أَنْفُسِنا وَمُجْتَمَعَاتِنَا
Play Video
Play Video
01:08:48
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE DARSA (II) باب التواضع وخفض الجناح للمؤمنين Sh Salim
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 19, 1448 H Jumanne Septemba 01, 2026 SEHEMU YA PILI باب التواضع وخفض الجناح للمؤمنين Mlango Wa Unyenyekevu na Kuwainamishia Bawa Waumini :قَالَ الله تَعَالَى ﴾وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِمَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ ﴿٢١٥ "Na inamisha ubawa wako kwa anayekufuata miongoni mwa Waumini."[Ash-Shu'araa 26: 215] ﴾يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا مَن يَرْتَدَّ مِنكُمْ عَن دِينِهِ فَسَوْفَ يَأْتِي اللَّـهُ بِقَوْمٍ يُحِبُّهُمْ وَيُحِبُّونَهُ أَذِلَّةٍ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ أَعِزَّةٍ عَلَى الْكَافِرِينَ ﴿٥٤ "Enyi mlioamini! Yeyote yule atakayeritadi miongoni mwenu kutoka Dini yake, basi Allah Ataleta watu (badala yao) Atakaowapenda nao watampenda; wanyenyekevu kwa Waumini, washupavu juu ya makafiri."[Al-Maaidah 5:54] ﴾يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَىٰ وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا ۚ إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّـهِ أَتْقَاكُمْ ۚ ﴿١٣ "Enyi watu! Hakika Sisi Tumekuumbeni kutokana na mwanamme na mwanamke, na Tukakujaalieni mataifa na makabila ili mtambuane; hakika aliye na hadhi zaidi miongoni mwenu mbele ya Allah ni mwenye taqwa zaidi kati yenu." [Al-Hujuraat 49:13] ﴾فَلَا تُزَكُّوا أَنفُسَكُمْ ۖ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اتَّقَىٰ ﴿٣٢ "Basi msizitakase nafsi zenu; Yeye Anamjua zaidi aliyekuwa na taqwa." [An-Najm 53:32] ﴾وَنَادَىٰ أَصْحَابُ الْأَعْرَافِ رِجَالًا يَعْرِفُونَهُم بِسِيمَاهُمْ قَالُوا مَا أَغْنَىٰ عَنكُمْ جَمْعُكُمْ وَمَا كُنتُمْ تَسْتَكْبِرُونَ ﴿٤٨ ﴾ أَهَـٰؤُلَاءِ الَّذِينَ أَقْسَمْتُمْ لَا يَنَالُهُمُ اللَّـهُ بِرَحْمَةٍ ۚ ادْخُلُوا الْجَنَّةَ لَا خَوْفٌ عَلَيْكُمْ وَلَا أَنتُمْ تَحْزَنُونَ ﴿٤٩ "Na watu wa Al-A’raaf watawaita watu (wa motoni) wanaowatambua kwa alama zao, watasema: Hakukufalieni kujumuika kwenu (duniani) na vile mlivyokuwa mkitakabari; je, hawa si wale ambao mliapa kwamba Allah Hatowafikishia kwa rahmah yoyote ile? (Leo wanaambiwa) Ingieni Jannah! Hakuna hofu juu yenu na wala nyinyi hamtohuzunika." [Al-A'raaf 7:48-49]
Play Video
Play Video
01:02:25
Darsa ya Riyaadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE DARSA (I) باب التواضع وخفض الجناح للمؤمنين Sh Salim
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 18, 1448 H Jumatatu Agosti 31, 2026 باب التواضع وخفض الجناح للمؤمنين Mlango Wa Unyenyekevu na Kuwainamishia Bawa Waumini :قَالَ الله تَعَالَى ﴾وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِمَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ ﴿٢١٥ "Na inamisha ubawa wako kwa anayekufuata miongoni mwa Waumini."[Ash-Shu'araa 26: 215] ﴾يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا مَن يَرْتَدَّ مِنكُمْ عَن دِينِهِ فَسَوْفَ يَأْتِي اللَّـهُ بِقَوْمٍ يُحِبُّهُمْ وَيُحِبُّونَهُ أَذِلَّةٍ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ أَعِزَّةٍ عَلَى الْكَافِرِينَ ﴿٥٤ "Enyi mlioamini! Yeyote yule atakayeritadi miongoni mwenu kutoka Dini yake, basi Allah Ataleta watu (badala yao) Atakaowapenda nao watampenda; wanyenyekevu kwa Waumini, washupavu juu ya makafiri."[Al-Maaidah 5:54] ﴾يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَىٰ وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا ۚ إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّـهِ أَتْقَاكُمْ ۚ ﴿١٣ "Enyi watu! Hakika Sisi Tumekuumbeni kutokana na mwanamme na mwanamke, na Tukakujaalieni mataifa na makabila ili mtambuane; hakika aliye na hadhi zaidi miongoni mwenu mbele ya Allah ni mwenye taqwa zaidi kati yenu." [Al-Hujuraat 49:13] ﴾فَلَا تُزَكُّوا أَنفُسَكُمْ ۖ هُوَ أَعْلَمُ بِمَنِ اتَّقَىٰ ﴿٣٢ "Basi msizitakase nafsi zenu; Yeye Anamjua zaidi aliyekuwa na taqwa." [An-Najm 53:32] ﴾وَنَادَىٰ أَصْحَابُ الْأَعْرَافِ رِجَالًا يَعْرِفُونَهُم بِسِيمَاهُمْ قَالُوا مَا أَغْنَىٰ عَنكُمْ جَمْعُكُمْ وَمَا كُنتُمْ تَسْتَكْبِرُونَ ﴿٤٨ ﴾ أَهَـٰؤُلَاءِ الَّذِينَ أَقْسَمْتُمْ لَا يَنَالُهُمُ اللَّـهُ بِرَحْمَةٍ ۚ ادْخُلُوا الْجَنَّةَ لَا خَوْفٌ عَلَيْكُمْ وَلَا أَنتُمْ تَحْزَنُونَ ﴿٤٩ "Na watu wa Al-A’raaf watawaita watu (wa motoni) wanaowatambua kwa alama zao, watasema: Hakukufalieni kujumuika kwenu (duniani) na vile mlivyokuwa mkitakabari; je, hawa si wale ambao mliapa kwamba Allah Hatowafikishia kwa rahmah yoyote ile? (Leo wanaambiwa) Ingieni Jannah! Hakuna hofu juu yenu na wala nyinyi hamtohuzunika." [Al-A'raaf 7:48-49]
Play Video
Play Video
01:00:03
DARSA: الجامع لعبادة الله وحده 🔴DARSA: Kuomba usaidizi الاستعانة (II) Ust Abu Arqam Ali bin Masoud
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 17, 1448 H Jumapili Agosti 30, 2026 SEHEMU YA PILI الجامع لعبادة الله وحده Al Jaami'u (Kusanyo lenye Kuhusiana na) Ibada kwa Ajili ya Allah Pekee Kanuni Kamili za Kumuabudu Allah Pekee فإن قيل : فما الجامع لعبادة الله وحده؟ Aina za Ibada ni nyingi, kubwa yao ni Dua أنواع العبادة كثيرة أعظمها : الدعاء :قال الله تعالى ﴾وَقَالَ رَبُّكُمُ ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ ۚ إِنَّ الَّذِينَ يَسْتَكْبِرُونَ عَنْ عِبَادَتِي سَيَدْخُلُونَ جَهَنَّمَ دَاخِرِينَ﴿٦٠ "Na Rabi wenu Amesema: Niombeni, Nitakuitikieni; hakika wale wanaotakabari katika kuniabudu wataingia Jahanam wadhalilike." [Ghaafir 40:60] أمر الله بدعائه وسمى ذلك عبادة، فقال : إِنَّ الَّذِينَ يَسْتَكْبِرُونَ عَنْ عِبَادَتِي أي : عن دعائي Allah Ameamuru kuombwa (Yeye); na akaiita hilo kuwa ni Ibada; Akisema: hakika wale wanaotakabari juu ya Ibada Yangu, yaani: Juu ya Kuniomba (dua). قال النبي صلى الله عليه وسلم : " الدُّعَاءُ هُوَ الْعِبَادَةُ" Amesema Nabii صلى الله عليه وسلم: "Dua ndio Ibada" فالدعاء هو أعظم أنواع العبادة، فمن دعا غير الله من الموتى والمقبورين والجن والشياطين Dua ndiyo aina bora zaidi za ibada; hivyo basi yeyote yule ataemuomba ghairi -asiyekuwa- Allah miongoni mwa wafu, na waliomo makaburini, na majini, na mashetani فقد أشرك بالله الشرك الأكبر ، قال تعالى Atakuwa amekwishamshirikisha Allah; shirki kubwa; Allah Amesema: ﴾وَأَنَّ الْمَسَاجِدَ لِلَّـهِ فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللَّـهِ أَحَدًا﴿١٨ "Na kwamba Masaajid ni ya Allah Pekee, hivyo basi msimuombe mmoja yeyote yule pamoja na Allah." Al Jinn 72:18] Kuomba/kutaka/kutafuta msaada الاستعانة : طلب العون على أمر من الأمور، وطلب العون على قسمين Kutafuta msaada katika jambo fulani miongoni mwa mambo; na kutafuta msaada kuko namna mbili: القسم الأول : أن تطلب العون مِمَّن يقدر على إعانتك، وهذا يجوز أن تستعين بالمخلوق فيما يقدر عليه Aina ya Kwanza: Kuomba msaada kwa yule anaeweza kukusaidia; na hii inaruhusiwa, ikimaanisha unaweza kutafuta msaada mahuluku katika yale mambo yaliyo ndani ya uwezo wake. فالتعاون بين الناس فيما يقدرون عليه وينفعهم أمر طيب، إذا كان الإنسان حيا حاضرًا قادرًا على أن يعينك فهذا لا بأس به Kusaidiana baina ya watu katika mambo yaliyo ndani ya uwezo wao na yanayowanufaisha ni jambo zuri, pale atakapokuwa huyo anaeombwa: 1.Yuhai 2.Yupo (haadhir) 3. Mwenye uwezo wa kukusaidia katika hilo jambo. النوع الثاني : الاستعانة بغير الله فيما لا يقدر عليه إلا الله Aina ya pili: Kutafuta msaada kwa ghairi -asiyekuwa- Allah katika yale mambo ambayo hakuna anaeyaweza isipokuwa Allah Pekee. Hivyo basi aina hii ya pili فمن طلبها من غيرالله فإنه يكون مشركا الشرك الأكبر المخرج من الملة Yeyote yule ataeomba msaada kwa ghairi -asiyekuwa- Allah kwa hakika huwa mshirikina, shiiki kubwa unayomtoa mtu kwenye Uislamu.
Play Video
Play Video
01:01:18
Darsa: حُقُوْقُ الزَّوْجَةِ عَلَى زَوْجِهَا 🔴LIVE|DARSA Haki za Mke juu ya Mume (III)Ust. Abu Raifah
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 17, 1448 H Jumapili Agosti 30, 2026 SEHEMU YA TATU Haki za Mke juu ya Mumewe حُقُوْقُ الزَّوْجَةِ عَلَى زَوْجِهَا Kama ambayo Sharia imewajibisha -imelazimisha- kwa mke kutimiza fungu la haki kwa mumewe, kadhalika Sharia imempa -imemuwekea- mke haki zinazohifadhi Dini yake na hadhi yake. :قال تعالى ﴾وَلَهُنَّ مِثْلُ الَّذِي عَلَيْهِنَّ بِالْمَعْرُوفِ ۚ وَلِلرِّجَالِ عَلَيْهِنَّ دَرَجَةٌ ۗ وَاللَّـهُ عَزِيزٌ حَكِيمٌ ﴿٢٢٨ "Nao wake wana haki kama ambayo (waume zao) iliyo juu yao kwa mujibu wa Sharia; na wanaume wana daraja zaidi juu yao; na Allah ni Mwenye Enzi ya Nguvu Asiyeshindika, Hakimu." [Al Baqarah 2:228] Na Rasuli wa Allah صَليَ اللَّهُ علَيْهِ وَآله وسَلَّم amesema: أَلَّا إِنَّ لَكُمْ عَلَى نِسَائِكُمْ حَقَا،ً وَلِنِسَائِكُمْ عَلَيْكُمْ حَقًا "Tanabahini! Hakika nyinyi mnazo haki juu ya wanawake wenu, na wanawake wenu wanazo haki juu yenu..." tirmidhi, katika Kitabu cha kuhusu Kunyonyesha; mlango wa Yaliyokuja Kuhusu Haki za mwanamke juu ya mumewe; Hadithi namba (1163) Na Rasuli wa Allah صَليَ اللَّهُ علَيْهِ وَآله وسَلَّم ameamuru kwamba haki za wake ziheshimiwe: فَاتَّقُوا اللَّهَ فِي النِّسَاءِ فَإِنَّكُمْ أَخَذْتُمُوهُنَّ بِأَمَانِ اللَّهِ وَاسْتَحْلَلْتُمْ فُرُوجَهُنَّ بِكَلِمَةِ اللَّهِ "...basi muogopeni Allah katika wake zenu! Kwani nyinyi mumewachukuwa kwa dhamana ya Allah, na mkahalalishiwa tupu zao kwa kalima ya Allah ...." Muslim, katika Kitabu cha Hajj; mlango wa Hija ya Nabii صَليَ اللَّهُ علَيْهِ وَآله وسَلَّم . Hadithi namba (1218a) Hivyo basi kwa kadiri mume atakavyotimiza haki za mke wake, maisha yatakuwa ya haki, yenye furaha na kuridhika. Haki za mke juu ya mumewe ni za aina mbili. حقوق الزوجة على الزوج قسمان Ya Kwanza: Haki za kifedha حقوق مالية Ya Pili: Haki zisizo za kifedha حقوق غير مالية Haki zisizo za kifedha حقوق غير مالية أعظم حقوق المرأة على زوجها المعاشرة بالمعروف والإحسان إليها Haki kubwa zaidi ya mwanamke juu ya mumewe ni kukaa nae kwa wema na kumfanyia ihsani. يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا يَحِلُّ لَكُمْ أَن تَرِثُوا النِّسَاءَ كَرْهًا ۖ وَلَا تَعْضُلُوهُنَّ لِتَذْهَبُوا بِبَعْضِ مَا آتَيْتُمُوهُنَّ إِلَّا أَن يَأْتِينَ بِفَاحِشَةٍ مُّبَيِّنَةٍ ﴾وَعَاشِرُوهُنَّ بِالْمَعْرُوفِ ۚ فَإِن كَرِهْتُمُوهُنَّ فَعَسَىٰ أَن تَكْرَهُوا شَيْئًا وَيَجْعَلَ اللَّـهُ فِيهِ خَيْرًا كَثِيرًا ﴿١٩ "Enyi mlioamini! Si halali kwenu kuwarithi wanawake kwa kuwalazimisha, na wala msiwazuie kwa inda ili mpokonye baadhi ya vile mlivyowapa isipokuwa wakiwa wamefanya uchafu bayana; na kaeni nao kwa wema; na mkiwachukia, basi asaa mkachukia jambo na Allah Akalijaalia kuwa lenye heri nyingi ndani yake." [An Nisaa 4:19]
Play Video
Play Video
01:48:26
Darsa: أَرْبَعَةُ أَسْبَابٍ خَفِيَّةٍ لِهَلَاكِ الأَبْنَاءِ 🔴 DARSA: Maangamizi Manne Ust. Hassan
Darsa ilifanyika Rabi'ul Awwal 17, 1448 H Jumapili Agosti 30, 2026 SEHEMU YA KWANZA أَرْبَعَةُ أَسْبَابٍ خَفِيَّةٍ لِهَلَاكِ الأَبْنَاءِ ــ أخْطَاءٌ يَرْتَكِبُهَا آبَاءُ القَرْنِ ٢١ ضِدَّ أَجْيَالِهِمْ Maangamizi Manne Hatari Yaliyojificha: Makosa ya Wazazi wa Karne ya 21 Yanaoharibu Kizazi
Contact
bottom of page