top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:05:08
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴 LIVE Aayah 137 -138 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 22, 1447H Jumanne Febuari 10, 2026 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة ﴾فَإِنْ آمَنُوا بِمِثْلِ مَا آمَنتُم بِهِ فَقَدِ اهْتَدَوا ۖ وَّإِن تَوَلَّوْا فَإِنَّمَا هُمْ فِي شِقَاقٍ ۖ فَسَيَكْفِيكَهُمُ اللَّـهُ ۚ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿١٣٧ "Watakapoamini kama vile mlivyoamini nyinyi, basi kwa yakini watakuwa wameongoka; na wakikengeuka, basi hakika wao wamo katika upinzani, na Allah Atakutosheleza nao, Naye ni Mwenye Kusikia yote, Mjuzi wa yote." ﴾صِبْغَةَ اللَّـهِ ۖ وَمَنْ أَحْسَنُ مِنَ اللَّـهِ صِبْغَةً ۖ وَنَحْنُ لَهُ عَابِدُونَ ﴿١٣٨ "(Swibghah (Dini) ya Allah; na dini gani yaweza kuwa bora zaidi kuliko Dini ya Allah?! Na sisi ni wenye kumuabudu Yeye Pekee."
Play Video
Play Video
01:12:46
Darsa: الاستعداد لشهر رمضان 🔴 LIVE | DARSA (I) Maandalizi ya Ramadhani Sh. Salim Issa Kirungi
Darsa ilifanyika Sha'bani 21, 1447H Jumatatu Febuari 09, 2026 SEHEMU YA KWANZA Maandalizi ya Ramadhani الاستعداد لشهر رمضان
Play Video
Play Video
57:03
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴 LIVE Aayah 134 -136 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 21, 1447H Jumatatu Febuari 09, 2026 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة ﴾تِلْكَ أُمَّةٌ قَدْ خَلَتْ ۖ لَهَا مَا كَسَبَتْ وَلَكُم مَّا كَسَبْتُمْ ۖ وَلَا تُسْأَلُونَ عَمَّا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٣٤ "Huo ni ummah uliokwishapita, utapata uliyoyachuma nanyi mtapata mliyoyachuma, na wala hamtoulizwa kuhusu waliyokuwa wakiyatenda." ﴾ وَقَالُوا كُونُوا هُودًا أَوْ نَصَارَىٰ تَهْتَدُوا ۗ قُلْ بَلْ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۖ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ ﴿١٣٥ "Na (Mayahudu na Nasara) wakasema: Kuweni Mayahudi au Manasara mtaongoka; sema: Bali (tunafuata) mila ya (Nabii) Ibrahimu aliyeelemea haki na wala hakuwa katika washirikina." المسلم يؤمن بجميع ما انزل الله ولا يفرق بين نبي ونبي Muislamu anayaamini yale yote ambayo Allah Ameyateremsha na wala hatofautishi baina ya Nabii mmoja na mwengine. قُولُوا آمَنَّا بِاللَّـهِ وَمَا أُنزِلَ إِلَيْنَا وَمَا أُنزِلَ إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَمَا أُوتِيَ النَّبِيُّونَ مِن ﴾رَّبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِّنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ ﴿١٣٦ "Semeni: Tumemuamini Allah na yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwa Ibrahimu na Ismail na Is-haq na Ya’qub na Al-Asbatw, na (tunayaamini pia yale) aliyopewa Musa na Isa na waliyopewa Manabii kutoka kwa Rabi wao, hatutofautishi baina ya mmoja yeyote miongoni mwao, nasi ni wenye kujisalimisha Kwake.
Play Video
Play Video
02:23:47
Darsa: Ujenzi wa familia na Jamii Imara🔴LIVE DARSA: Kauli ya haki katika NDOA
Darsa ilifanyika Sha'bani 20, 1447H Jumapili Febuari 08, 2026 قَوْلًا سَدِيدًا في الزواج — سكينة أم خلاف؟ Kauli nyofu –yenye kunyooka- ya haki katika NDOA Mawasiliano bora/mazuri katika Ndoa Misingi mengine muhimu 1 kuwa wakweli 2 kukuza mazungumzo ya pamoja 3 kutatua mizozo kwa hekima 4 kugawa majukumu kwa wanafamilia 5 usawa na uadilifu 6 kuhifadhi siri za wana familia 7 mazungumzo yawe na uhuru 8 tukubali makosa 9 usilaumu sana 10 usimdharau mwenzio 11 kuwa laini na lugha ya kudekeza kidogo 12 usimkumbushe mabaya yake kisa ikrima bin jahal mtume alikataza asitajwe baba yake mbele yake
Play Video
Play Video
01:07:36
DARSA: مَوْسُوعَة عُلُومِ الحَدِيْثِ وفُنُونِه 🔴 LIVE | DARSA Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 18, 1447H Ijumaa Febuari 06, 2026
Play Video
Play Video
01:06:28
Darsa: شُروطِ لا إلهَ إلَّا اللهُ 🔴 LIVE مَدْلُولُ ومَعْنَى كَلِمَةِ التَوْحَيدِ
Darsa ilifanyika Sha'bani 18, 1447H Ijumaa Febuari 06, 2026 مَدْلُولُ ومَعْنَى كَلِمَةِ التَوْحَيدِ: لا إلهَ إلَّا اللهُ
Play Video
Play Video
01:05:50
Darsa: المنظومة الحائيةِ 🔴LIVE| (II) وَقُلْ: غَيْرُ مَخْلُوْقٍ كَلاَمُ مَلِيْكِنَا Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 18, 1447H Ijumaa Febuari 06, 2026 الحمد لله رب العالمين، وصلى الله وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين شرح المنظومة الحائية في عقيدة أَهْلِ السُّنَّةِ وَالجَمَاعَةِ لابن أبي داود لابن أبي داود Sharhu ya shairi (utenzi wa) Haaiyyah kuhusiana na Itikadi/Aqidah ya Ahali wa Sunnah na Jamaa’h َ قُلْ: غَيْرُ مَخْلُوْقٍ كَلاَمُ مَلِيْكِنَا Na Sema: ‘Ghairi (yaani: Si) mahuluku Maneno ya Maliki (yaani: Mfalme) Wetu’ بِذَلِكَ دَانَ الأَتْقِيَاءُ وَأَفْصَحُوا hivyo ndivyo walivyoamini Wenye taqwa na wakaweka wazi
Play Video
Play Video
01:08:12
Darsa: سنن ابن ماجه 🔴 LIVE | DARSA ذَرُونِي مَا تَرَكْتُكُمْ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Sha'bani 17, 1447H Alhamisi Febuari 05, 2026 HADITHI YA PILI Sunan Ibn Maajah سنن ابن ماجه Kitabu cha Utangulizi كتاب المقدمة باب اتِّبَاعِ سُنَّةِ رَسُولِ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ Mlango wa kufuata Sunnah za Rasuli wa Allah ـ صلى الله عليه وسلم ـ حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ الصَّبَّاحِ، قَالَ أَنْبَأَنَا جَرِيرٌ، عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ أَبِي صَالِحٍ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ذَرُونِي مَا تَرَكْتُكُمْ فَإِنَّمَا هَلَكَ مَنْ كَانَ قَبْلَكُمْ بِسُؤَالِهِمْ وَاخْتِلاَفِهِمْ عَلَى أَنْبِيَائِهِمْ فَإِذَا أَمَرْتُكُمْ بِشَىْءٍ فَخُذُوا مِنْهُ مَا اسْتَطَعْتُمْ وَإِذَا نَهَيْتُكُمْ عَنْ شَىْءٍ فَانْتَهُوا " . Ametuhadithi Abu Abdillahi amesema kuwa: ametuhadithia Muhammad bin Sabbahi amesema ametupasha habari Jariru kutokana na Al-A’mash kutokana na Abu Salih kutokana na Abu Hurayrah (Allah Awe Radhi Nae) amesema kuwa: Rasuli wa Allah ـ صلى الله عليه وسلم ـ amesema kuwa: "Niacheni kama nilivyokuacheni (msiniulize viswali visivyo na umuhimu), kwani hakika waliangamia waliopita kabla yenu kwa sababu ya maswali yao mengi na kwenda kwao kinyume dhidi ya Manabii wao; hivyo basi, nikiwaamuruni jambo, basi lifanyeni kiasi cha uwezo wenu, na nikiwakatazeni jambo, liacheni” Hadithi ina wapokezi wafuatao: 1. Muhammad bin Sabbahi bin Sufyan (Rahimahullahu) مُحَمَّدُ بْنُ الصَّبَّاحِ 2. Jariru bin Abdul Hamid (Rahimahullahu) جرير بن عبد الحميد بن قرط 3. Al-A’mash (Rahimahullahu) الأَعْمَشِ 4. Abu Salih (Rahimahullahu) Dhakwan أبو صالح ذكوان 5. Abu Hurayrah (Allah Awe Radhi Nae) (ambae ni Swahaba) -أَبٌوهُرَيْرَةَ -رَضِيَ اللهُ عَنهُ
Contact
bottom of page