top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
Darsa na Mihadhara's Personal Meeting Room
Play Video
Play Video
01:03:18
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 179 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 24, 1448 H Alhamisi Julai 09, 2026 Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة الأَمْرُ بِالقِصَاصِ، وَبَيَانُ مَا فِيْهِ مِنَ الْمَصْلَحَةِ Amri ya kulipiza kisasi, na ubainifu kuwa ndani yake kuna maslahi ﴾وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ﴿١٧٩ "Na mtapata katika kisasi (kuokoa) uhai enyi wenye akili ili mpate kuwa na taqwa." [Al Baqarah 2:179]
Play Video
Play Video
51:40
Darsa: سنن الترمذي 🔴 LIVE | DARSA (III) رَاوِي الحَدِيثِ : سُفْيَانُ الثَْوْرِِيُّ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 22, 1448 H Jumanne Julai 07, 2026 Sunanut Tirmidhi سنن الترمذي كتاب الطهارة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم Kitabu cha Twahara/tohara kutokana na Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم Mlango wa Yaliyokuja kuwa ufunguo wa Sala ni Twaharaباب مَا جَاءَ أَنَّ مِفْتَاحَ الصَّلاَةِ الطُّهُورُ HADITHI YA TATU حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ، وَهَنَّادٌ، وَمَحْمُودُ بْنُ غَيْلاَنَ، قَالُوا حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، عَنْ سُفْيَانَ، ح وَحَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ بَشَّارٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الرَّحْمَنِ بْنُ مَهْدِيٍّ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَقِيلٍ، عَنْ مُحَمَّدِ ابْنِ الْحَنَفِيَّةِ، عَنْ عَلِيٍّ رضي الله عنه عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: "مِفْتَاحُ الصَّلاَةِ الطُّهُورُ وَتَحْرِيمُهَا التَّكْبِيرُ وَتَحْلِيلُهَا التَّسْلِيمُ " . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا الْحَدِيثُ أَصَحُّ شَيْءٍ فِي هَذَا الْبَابِ وَأَحْسَنُ . Kutokana na Ali (رضي الله عنه) kutokana na Nabii (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ”Ufunguo wa Sala ni Twahara, na Tahriym yake– kinachoharamisha yaliyokuwa yakifaa kuyafanya kabla ya Sala- ni Takbira, na Tahlili yake– chenye kuyahalalisha- ni (kutoa) Salamu.” Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Qutaybah (Rahimahullahu) قُتَيْبَةُ 2. Hannad (Rahimahullahu) هَنَّادٌ 3. Mahmoud bin Ghaylana (Rahimahullahu) مَحْمُودُ بْنُ غَيْلاَنَ 4. Waki' (Rahimahullahu) وَكِيعٌ Msimulizi wa Hadithi: Sufyanith Thawari (Rahimahullahu) سُفْيَانُ الثَْوْرِِيُّ الاسم: سفيان بن سعيد بن مسروق الكنية: أبو عبد الله النسب: الثوري, الكوفي بلد الإقامة: الكوفة علاقات الراوي: إخوته: حبيب والمبارك وعمر، وأصحابه: ابن المبارك ووكيع وأبو إسحاق الفزاري وابن مهدي المذهب العقدي: كان يتشيع فلما لقي أيوب وابن عون بالبصرة ترك التشيع تاريخ الميلاد: 95 هـ أو 96 هـ أو 97 هـ تاريخ الوفاة: 159 هـ أو 160 هـ أو 161 هـ أو 162 هـ بلد الميلاد: قال أبو داود: قزوين، وقال حمزة: ولد بقرية من قرى جرجان تعرف بالثوريين، وعن جرير بن عبد الحميد يقول: ولد سفيان الثوري بأثير، وذكر المنتجيلي: أنه ولد بدستبا قرية من قرى الري بلد الوفاة: البصرة بلد الرحلة: نيسابور، مكة، البصرة طبقة رواة التقريب: رؤس الطبقة السابعة الرتبة عند ابن حجر: ثقة حافظ, فقيه عابد، إمام حجة الرتبة عند الذهبي: أحد الأعلام علما وزهدا
Play Video
Play Video
42:29
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 178-179 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 23, 1448 H Jumatano Julai 08, 2026 Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِصَاصُ فِي الْقَتْلَى ۖ الْحُرُّ بِالْحُرِّ وَالْعَبْدُ بِالْعَبْدِ وَالْأُنثَىٰ بِالْأُنثَىٰ ۚ فَمَنْ عُفِيَ لَهُ مِنْ أَخِيهِ شَيْءٌ فَاتِّبَاعٌ بِالْمَعْرُوفِ وَأَدَاءٌ إِلَيْهِ بِإِحْسَانٍ ۗ ذَٰلِكَ تَخْفِيفٌ مِّن رَّبِّكُمْ وَرَحْمَةٌ ۗ ﴾فَمَنِ اعْتَدَىٰ بَعْدَ ذَٰلِكَ فَلَهُ عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿١٧٨ "Enyi mlioamini! Mmeandikiwa sharia ya kisasi kwa waliouawa; muungwana kwa muungwana, na mtumwa kwa mtumwa, na mwanamke kwa mwanamke, na anaesamehewa na nduguye kwa lolote, basi kufuatilizwa kwake kuwe kwa wema na kumlipa kwake iwe kwa ihsani, hiyo ni tahafifu kutoka kwa Rabi wenu na rehma; na atakayevuka mipaka baada ya hapo basi atapata adhabu iumizayo." [Al Baqarah 2:178] ﴾وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ﴿١٧٩ "Na mtapata katika kisasi (kuokoa) uhai enyi wenye akili ili mpate kuwa na taqwa." [Al Baqarah 2:179]
Play Video
Play Video
49:21
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 177 (IV) Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 22, 1448 H Jumanne Julai 07, 2026 SEHEMU YA NNE Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة Mkusanyiko wa Wema جَامِعُ اَلْبِرِِّ لَّيْسَ الْبِرَّ أَن تُوَلُّوا وُجُوهَكُمْ قِبَلَ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ وَلَـٰكِنَّ الْبِرَّ مَنْ آمَنَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالْكِتَابِ وَالنَّبِيِّينَ وَآتَى الْمَالَ عَلَىٰ حُبِّهِ ذَوِي الْقُرْبَىٰ وَالْيَتَامَىٰ وَالْمَسَاكِينَ وَابْنَ السَّبِيلِ وَالسَّائِلِينَ وَفِي الرِّقَابِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ ﴾الْمُوفُونَ بِعَهْدِهِمْ إِذَا عَاهَدُوا ۖ وَالصَّابِرِينَ فِي الْبَأْسَاءِ وَالضَّرَّاءِ وَحِينَ الْبَأْسِ ۗ أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ صَدَقُوا ۖ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُتَّقُونَ ﴿١٧٧ "Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa Mashariki na Magharibi, walakini wema ni mwenye kuamini Allah na Siku ya Mwisho na Malaika na Kitabu na Manabii, na akawapa mali juu ya kuipenda kwake jamaa wa karibu na mayatima na masikini na msafiri na waombao na katika kukomboa watumwa, na akasimamisha Sala na akatoa Zaka, na watimizao ahadi zao wanapoahidi, na wenye subira katika dhiki za ufukara na maafa ya magonjwa na njaa na katika vita; hao ndio waliosadikisha na hao ndio wenye taqwa." [Al Baqarah 2:177]
Play Video
Play Video
59:59
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 177 (III) Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 21, 1448 H Jumatatu Julai 06, 2026 SEHEMU YA TATU Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة Mkusanyiko wa Wema جَامِعُ اَلْبِرِِّ لَّيْسَ الْبِرَّ أَن تُوَلُّوا وُجُوهَكُمْ قِبَلَ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ وَلَـٰكِنَّ الْبِرَّ مَنْ آمَنَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالْكِتَابِ وَالنَّبِيِّينَ وَآتَى الْمَالَ عَلَىٰ حُبِّهِ ذَوِي الْقُرْبَىٰ وَالْيَتَامَىٰ وَالْمَسَاكِينَ وَابْنَ السَّبِيلِ وَالسَّائِلِينَ وَفِي الرِّقَابِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ ﴾الْمُوفُونَ بِعَهْدِهِمْ إِذَا عَاهَدُوا ۖ وَالصَّابِرِينَ فِي الْبَأْسَاءِ وَالضَّرَّاءِ وَحِينَ الْبَأْسِ ۗ أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ صَدَقُوا ۖ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُتَّقُونَ ﴿١٧٧ "Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa Mashariki na Magharibi, walakini wema ni mwenye kuamini Allah na Siku ya Mwisho na Malaika na Kitabu na Manabii, na akawapa mali juu ya kuipenda kwake jamaa wa karibu na mayatima na masikini na msafiri na waombao na katika kukomboa watumwa, na akasimamisha Sala na akatoa Zaka, na watimizao ahadi zao wanapoahidi, na wenye subira katika dhiki za ufukara na maafa ya magonjwa na njaa na katika vita; hao ndio waliosadikisha na hao ndio wenye taqwa." [Al Baqarah 2:177]
Play Video
Play Video
01:50:13
Darsa: Ujenzi wa familia na Jamii Imara🔴 LIVE DARSA: (III) Kudhibiti Hisia Zako (Self-Management)
Darsa ilifanyika Muharramu 20, 1448 H Jumapili Julai 05, 2026 MSINGI WA PILI NA WA TATU Kudhibiti Hisia Zako (Self-Management) Kuelewa Hisia za Wengine (Social Awareness)
Play Video
Play Video
45:30
Darsa: حُقُوقُ الزَّوْجَيْنِ 🔴 LIVE | DARSA Haki za Wanandoa Wawili (III) Ust. Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 20, 1448 H Jumapili Julai 05, 2026 SEHEMU YA TATU Haki za Wanandoa Wawili حُقُوقُ الزَّوْجَيْنِ Uislamu unasisitiza umuhimu wa uhusiano madhubuti na wenye nguvu na mshikamano baina ya wanandoa wawili; kwa minajili hiyo ndio Allah Akauita ' ahadi iliyo madhubut مِّيثَاقًا غَلِيظًا ' na Akajaalia baina ya wanandoa wawili mawada -mapenzi- na rahmah. Pia Uislamu umeweka suluhisho la kivitendo lenye lengo la kuweza kuhakikisha na kudhamini uendeleaji wa maisha ya ndoa, na huku ukibughudhi aina yoyote ile itayoweza kuwa ni sababu ya kutengana kwa wanandoa wawili kwa sabili yoyote ile, na ikiwa ni pamoja na talaka, kwa kuifanya kuwa ni suluhisho la mwisho. Na ili kuhakikisha mwendelezo wa maisha ya kindoa; Allah عَزَّوَجَلَّ na Rasuli Wake صلى الله عليه وسلم wameweka haki kwa kila mwenzi na wajibu kwa kila mmoja kwa mwenzake. Kadiri wanavyotimiza wajibu wao, ndivyo maisha yao ya kindoa yatakavyonyooka na kuwa yenye mshikamano zaidi. Haki za Mume Juu ya Mke حُقُوقُ الزَّوْجِ عَلَى الزَّوْجَةِ * حق الزوج على زوجته من أعظم الحقوق بعد حق الله عليها Haki za mume juu ya mkewe ni miongoni mwa haki kubwa zaidi baada ya haki za Allah juu ya mke. * جعل الله القوامة للرجل على المرأة وفضله عليها Allah عَزَّوَجَلَّ Amejaalia usimamizi wa mwanamke kwa rajuli -mume- na Amemfadhilisha mwanamume kuliko mwanamke. *طاعة الزوج والقيام بحقوقه يقدم على طاعة الوالدين والقيام بحقوقهما Kumtii mume na kule kutekeleza haki zake kunatangulizwa -kunakadimishwa- mbele ya kuwatii wazazi wawili na kule kutekeleza -kusimamia- haki zao. * Kutimiza haki za mume ni tariki -njia- ya kutimiza haki za Allah أداء حق الزوج طريق لأداء حق الله عزوجل *Kutimiza haki za mume ni katika sababu ya kuingia Jannah أداء حق الزوج من أسباب دخول الجنة * يجب على الزوجة تلبية حق الزوج في الفراش، مالم يكن ضررتعذر به Ni wajibu juu ya mke kutimiza haki za mume ya mahusiano ya kindoa, madamu hakuna madhara ambayo kwayo atatolea udhuru. *Kubaki nyumbani kwake na asitoke bila idhini ya mumewe لزوم بيتها فلا تخرج بغير إذن زوجها *Kutofunga funga za Sunnah -za kujitolea- bila idhini ya mumewe عدم التطوع بالصوم إلا بإذن زوجها *Kuhifadhi kutokuwepo kwa mumewe حفظ غيبة زوجها *Kuhifadhi nafsi yake kwa kutochanganyika na wasiokuwa maharamu zake bila ya haja, na bila ya idhini ya mumewe. حفظ نفسها عن مخالطة الأجانب لغير حاجة، وبإذن زوجها
Contact
bottom of page