top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
50:38
Darsa: حُقُوقُ الزَّوْجَيْنِ 🔴 LIVE | DARSA Haki za Wanandoa Wawili (IV) Ust. Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 27, 1448 H Jumapili Julai 12, 2026 SEHEMU YA NNE Haki za Wanandoa Wawili حُقُوقُ الزَّوْجَيْنِ Uislamu unasisitiza umuhimu wa uhusiano madhubuti na wenye nguvu na mshikamano baina ya wanandoa wawili; kwa minajili hiyo ndio Allah Akauita ' ahadi iliyo madhubut مِّيثَاقًا غَلِيظًا ' na Akajaalia baina ya wanandoa wawili mawada -mapenzi- na rahmah. Pia Uislamu umeweka suluhisho la kivitendo lenye lengo la kuweza kuhakikisha na kudhamini uendeleaji wa maisha ya ndoa, na huku ukibughudhi aina yoyote ile itayoweza kuwa ni sababu ya kutengana kwa wanandoa wawili kwa sabili yoyote ile, na ikiwa ni pamoja na talaka, kwa kuifanya kuwa ni suluhisho la mwisho. Na ili kuhakikisha mwendelezo wa maisha ya kindoa; Allah عَزَّوَجَلَّ na Rasuli Wake صلى الله عليه وسلم wameweka haki kwa kila mwenzi na wajibu kwa kila mmoja kwa mwenzake. Kadiri wanavyotimiza wajibu wao, ndivyo maisha yao ya kindoa yatakavyonyooka na kuwa yenye mshikamano zaidi. Haki za Mume Juu ya Mke حُقُوقُ الزَّوْجِ عَلَى الزَّوْجَةِ * حق الزوج على زوجته من أعظم الحقوق بعد حق الله عليها Haki za mume juu ya mkewe ni miongoni mwa haki kubwa zaidi baada ya haki za Allah juu ya mke. * جعل الله القوامة للرجل على المرأة وفضله عليها Allah عَزَّوَجَلَّ Amejaalia usimamizi wa mwanamke kwa rajuli -mume- na Amemfadhilisha mwanamume kuliko mwanamke. *طاعة الزوج والقيام بحقوقه يقدم على طاعة الوالدين والقيام بحقوقهما Kumtii mume na kule kutekeleza haki zake kunatangulizwa -kunakadimishwa- mbele ya kuwatii wazazi wawili na kule kutekeleza -kusimamia- haki zao. * Kutimiza haki za mume ni tariki -njia- ya kutimiza haki za Allah أداء حق الزوج طريق لأداء حق الله عزوجل *Kutimiza haki za mume ni katika sababu ya kuingia Jannah أداء حق الزوج من أسباب دخول الجنة * يجب على الزوجة تلبية حق الزوج في الفراش، مالم يكن ضررتعذر به Ni wajibu juu ya mke kutimiza haki za mume ya mahusiano ya kindoa, madamu hakuna madhara ambayo kwayo atatolea udhuru. *Kubaki nyumbani kwake na asitoke bila idhini ya mumewe لزوم بيتها فلا تخرج بغير إذن زوجها *Kutofunga funga za Sunnah -za kujitolea- bila idhini ya mumewe عدم التطوع بالصوم إلا بإذن زوجها *Kuhifadhi kutokuwepo kwa mumewe حفظ غيبة زوجها *Kuhifadhi nafsi yake kwa kutochanganyika na wasiokuwa maharamu zake bila ya haja, na bila ya idhini ya mumewe. حفظ نفسها عن مخالطة الأجانب لغير حاجة، وبإذن زوجها
Play Video
Play Video
48:49
Darsa: صحيح البخاري 🔴 LIVE | DARSA رَاوِي الحَدِيثِ : هشام بن عروة بن الزبير Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 26, 1448 H Jumamosi Julai 11, 2026 باب كَيْفَ كَانَ بَدْءُ الْوَحْىِ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم Mlango: Namna ya Wahyi Ulivyoanza kwa Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) HADITHI YA PILI حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ، قَالَ أَخْبَرَنَا مَالِكٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها ـ أَنَّ الْحَارِثَ بْنَ هِشَامٍ ـ رضى الله عنه ـ سَأَلَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَقَالَ يَا رَسُولَ اللَّهِ كَيْفَ يَأْتِيكَ الْوَحْىُ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " أَحْيَانًا يَأْتِينِي مِثْلَ صَلْصَلَةِ الْجَرَسِ ـ وَهُوَ أَشَدُّهُ عَلَىَّ ـ فَيُفْصَمُ عَنِّي وَقَدْ وَعَيْتُ عَنْهُ مَا قَال وَأَحْيَانًا يَتَمَثَّلُ لِيَ الْمَلَكُ رَجُلاً فَيُكَلِّمُنِي فَأَعِي مَا يَقُولُ ". قَالَتْ عَائِشَةُ رضى الله عنها وَلَقَدْ رَأَيْتُهُ يَنْزِلُ عَلَيْهِ الْوَحْىُ فِي الْيَوْمِ الشَّدِيدِ الْبَرْدِ، فَيَفْصِمُ عَنْهُ وَإِنَّ جَبِينَهُ لَيَتَفَصَّدُ عَرَقًا. Ametuhadithia Abdullahi bin Yusuf, amesema: ametupasha habari Malik kutokana na Hishami bin 'Urwah kutokana na baba ake, kutokana na Aishah Mama wa Waumini (رضي الله عنها) kwamba: Al-Harith bin Hisham (رضي الله عنه) alimuuliza Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) kwa kusema: 'Ewe Rasuli wa Allah! Vipi unakujia Wahyi?” Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) akamjibu kwa kusema: “Wakati mwengine unanijia kama sauti ya kengele, aina hii ya Wahyi ni shadidi -ngumu- zaidi kwangu kuliko zote na kisha hali hiyo hunipitia baada ya kuwa nimeshafahamu kile nilichofunuliwa; wakati mwingine Malaika huja katika umbile la rajuli, hunisemresha na kuyaelewa anayosema.” Aaishah (رضي الله عنها) amesema: 'Kwa hakika nilimwona (Rasuli wa Allah صلى الله عليه وآله وسلم) akiletewa Wahyi siku ya baridi kali na akaona jasho likimdondoka usoni (baada ya kumalizika Wahyi). Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Abdullahi bin Yusuf (Rahimahullahu) عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ 2. Malik bin Anas bin Malik (Rahimahullahu) مالك بن أنس بن مالك 3. Hishami bin 'Urwah (Rahimahullahu) هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ 4. 'Urwah bin Az Zubair (Rahimahullahu) عُرْوَةَ بنِ الزُّبَيْرِ بنِ العَوَّامِ 5. Aishah Ummul Muminina (Allah Awe Radhi Nae) عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها Msimulizi wa Hadithi: Hishami bin 'Urwah (Rahimahullahu) هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ هشام بن عروة بن الزبير بن العوام الاسم: هشام بن عروة بن الزبير بن العوام الكنية: أبو المنذر، وقيل: أبو عبد الله، وقيل: أبو بكر النسب: الأسدي، القرشي، المدني، المكي بلد الإقامة: الكوفة علاقات الراوي: أمه: خراسانية اسمها: صافية، وزوجته: فاطمة بنت المنذر بن الزبير، وأبناؤه: محمد والزبير، وعروة. وعمه: عبد الله بن الزبير، وأخواه: عبد الله، وعثمان، وابن عمه: عباد بن عبد الله، وابن ابن عمه: عباد بن حمزة بن عبد الله تاريخ الميلاد: 60هـ، أو: 61هـ تاريخ الوفاة: 145، أو: 146هـ، أو: 147هـ، وقيل: 144هـ بلد الوفاة: بغداد، أو: الكوفة بلد الرحلة: العراق طبقة رواة التقريب: الخامسة الرتبة عند ابن حجر: ثقة فقيه ربما دلس الرتبة عند الذهبي: أحد الأعلام، قال أبو حاتم: ثقة إمام في الحديث
Play Video
Play Video
28:57
Darsa: Mirathi:أَقْسَامُ الوَرَثَةِ بِاعْتِبَارِالإِرْثِ 🔴 LIVE UMMU أُمٌّ (I) Dr. Ibrahim Bulushi
Darsa ilifanyika Muharramu 26, 1448 H Jumamosi Julai 11, 2026 أَقْسَامُ الوَرَثَةِ بِاعْتِبَارِالإِرْثِ َMakundi (vigawanyo) vya Warithi kwa kuzingatia (namna za) KURITHI KUNDI LA KWANZA Wenye Kurithi kwa FAR-DHU PEKEE من يَرِثُ بِالْفَرْضِ فَقَط Warithi wenye kustahiki kurithi kwa FAR DHU PEKEE ni SABA (7) 1. UMMU أُمٌّ 2. MUME الزَّوْجُ 3. MKE زوْجَةٌ 4. BIBI (NYANYA) KWA MAMA جَدَّةٌ 5. BIBI (NYANYA) KWA BABA جَدَّةٌ 6. AKH KWA MAMA MMOJA الأخُ لأمِّ 7. UKHTI KWA MAMA MMOJA الأُخْت لأمّ Mrithi wa kwanza mwenye kustahiki kurithi kwa FAR DHU PEKEE MAMA/UMMU أُمٌّ UMMU hustahiki kurithi FAR DHU TATU (3) PEKEE: 1. SUDUSI (1/6) السُّدُسُ 2. THELUTHI (1/3) الثُّلُثُ 3. THELUTHI ILIYOBAKI ثلث الباقي UMMU/MAMA HUSTAHIKI KURITHI KWA FAR DHU KATIKA HALI NNE (4): HALI YA KWANZA ﴾وَلِأَبَوَيْهِ لِكُلِّ وَاحِدٍ مِّنْهُمَا السُّدُسُ مِمَّا تَرَكَ إِن كَانَ لَهُ وَلَدٌ ﴿١١ “Na WAZAZI WAKE WAWILI (UMMU/MAMA NI MMOJA WA HAO WAZAZI WAWILI) kila mmoja wao atastahiki SUDUSI (1/6) katika alichoacha (MRITHIEWA) IKIWA (MRITHIWA) ANA WALAD ....” [An Nisaa 4:11] HALI YA PILI : ﴾فَإِن كَانَ لَهُ إِخْوَةٌ فَلِأُمِّهِ السُّدُسُ ۚ ﴿١١ "Na ikiwa (mrithiwa) ana Ikhwah (yaani: ndugu: wa kike au wa kiume) basi UMMU/MAMA wake atastahiki SUDUSI (1/6) ..” [An Nisaa 4:11] HALI YA TATU: ﴾وَوَرِثَهُ أَبَوَاهُ فَلِأُمِّهِ الثُّلُثُ ۚ ﴿١١ “Na (ikiwa) WAZAZI WAKE WAWILI NDIO WARITHI WAKE (MRITHIWA: YAANI HAKUNA MRITHI ISIPOKUWA WAZAZI WAWILI PEKEE), BASI UMMU/MAMA YAKE ATASTAHIKI THELUTHI (1/3)..” [An Nisaa 4:11] HALI YA NNE: مسألة العمريتين MAS-ALA ZENYE KUELEWEKA KWA JINA LA: AL UMARIYYATAYNI AMBAYO YAKO NA HALI MBILI
Play Video
Play Video
55:55
Darsa: المنظومة الحائيةِ 🔴LIVE |DARSA (II) َلَيْسَ بِمَوْلُوْدٍ، وَلَيْسَ بِوَالِدٍ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 25, 1448 H Ijumaa Julai 10, 2026 شرح المنظومة الحائية في عقيدة أَهْلِ السُّنَّةِ وَالجَمَاعَةِ لابن أبي داود لابن أبي داود Sharhu ya shairi (utenzi wa) Haaiyyah kuhusiana na Itikadi/Aqidah ya Ahali wa Sunnah na Jamaa’h وَلَيْسَ بِمَوْلُوْدٍ، وَلَيْسَ بِوَالِدٍ Na wala Hakuzaliwa na wala Hakuzaa وَلَيْسَ لَهُ شِبْهٌ، تَعَالَى المُسَبَّحُ Na wala Hana shabihi yeyote yule, Ametukuka Mwenye Kustahiki Kusabihiwa (Kutukuzwa) Qur aani imegawanyika vigawanyo VITATU القرانُ على ثَلٌاثَةِ أَقْسَامٍ ١- إِمَّا تَوْحِيدٌ، وَهُوَ الإِخْبَارُ عَن اللهِ وَعِبَادَتِهِ، وَالنَّهْيُ عَنِ الشِّرْكِ بِهِ 1- Ima ni Tawhidi, ambayo ni kuhabarisha kuhusu Allah na ibada Yake, na kukataza kumshirikisha Allah. ٢- وَإِمَّا أوَامِرٌ وَنَواهٍ، وَهِيَ الحَلَالُ وَالْحَرَامُ وَالأَحْكَامُ الشَّرْعِيَّةُ 2- Na ima ni Maamrisho na makatazo, ambayo ni halali na haramu, na hukumu za kisharia. ٣- وَإِمَّا إِخْبَارٌعَن الرُّسُلِ وَالأُمَمِ، وَالمَاضِي وَالْمُسْتَقْبَلِ، وَالْجَنَّةِ وَالنَّارِِ 3- Na ima ni kuhabarisha kuhusiana na Rusuli -Wajumbu- na mataifa, na yale yaliyopita na yale ya mustakbali (yajayo), na Jannah na Nari (Moto).
Play Video
Play Video
50:18
Darsa: سنن ابن ماجه 🔴 LIVE | DARSA (III) رَاوِي الحَدِيثِ : ابْنِ الْمُبَارَكِ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 24, 1448 H Alhamisi Julai 09, 2026 HADITHI YA NNE Sunan Ibn Maajah سنن ابن ماجه Kitabu cha Utangulizi كتاب المقدمة باب اتِّبَاعِ سُنَّةِ رَسُولِ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ Mlango wa kufuata Sunnah za Rasuli wa Allah ـ صلى الله عليه وسلم ـ حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ نُمَيْرٍ، حَدَّثَنَا زَكَرِيَّا بْنُ عَدِيٍّ، عَنِ ابْنِ الْمُبَارَكِ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ سُوقَةَ، عَنْ أَبِي جَعْفَرٍ، قَالَ كَانَ ابْنُ عُمَرَ إِذَا سَمِعَ مِنْ، رَسُولِ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ حَدِيثًا لَمْ يَعْدُهُ وَلَمْ يُقَصِّرْ دُونَهُ . Ametuhadithia Muhammad bin Abdullah bin Numayri, ametuhadithia Zakariya bin Adiy kutokana na Ibn Mubarak kutokana na Muhammad bin Suqah kutokana na Abu Ja'far amesema kuwa:' Alikuwa Ibn Omar (رضي الله عنه) kila pale anaposikia Hadithi kutoka kwa Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) basi hangefanya zaidi ya ilivyosemwa, na wala hangekusuru.' Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Muhammad bin Abdullah bin Numayri (Rahimahullahu) مُحَمَّدُ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ نُمَيْرٍ 2. Zakariya bin Adiy (Rahimahullahu) زَكَرِيَّا بْنُ عَدِيٍّ 3. Ibn Mubarak (Rahimahullahu) ابْنِ الْمُبَارَكِ 4. Muhammad bin Suqah (Rahimahullahu) مُحَمَّدِ بْنِ سُوقَةَ 5. Abu Ja'far (Rahimahullahu) أَبُوجَعْفَرٍ Msimulizi wa Hadithi: Ibn Mubarak (Rahimahullahu) ابْنِ الْمُبَارَكِ لاسم: عبد الله بن المبارك بن واضح الكنية: أبو عبد الرحمن النسب: الحنظلي مولاهم, التميمي مولاهم, المروزي بلد الإقامة: خراسان، الكوفة علاقات الراوي: مولى بني حنظلة، ومولى لعبد شمس من تميم تاريخ الميلاد: 118 هـ، أو 119 هـ تاريخ الوفاة: 181 هـ، أو 182 هـ بلد الوفاة: هيت، مات في السفينة في الفرات وأخرج منها فدفن بهيت بلد الرحلة: خرج عبد الله إلى العراق، بغداد، اليمن، الشام، البصرة، الكوفة تاريخ الرحلة: 141 هـ طبقة رواة التقريب: الثامنة الرتبة عند ابن حجر: ثقة ثبت، فقيه عالم، جواد مجاهد، جمعت فيه خصال الخير الرتبة عند الذهبي: شيخ خرسان
Play Video
Play Video
01:03:18
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 179 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 24, 1448 H Alhamisi Julai 09, 2026 Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة الأَمْرُ بِالقِصَاصِ، وَبَيَانُ مَا فِيْهِ مِنَ الْمَصْلَحَةِ Amri ya kulipiza kisasi, na ubainifu kuwa ndani yake kuna maslahi ﴾وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ﴿١٧٩ "Na mtapata katika kisasi (kuokoa) uhai enyi wenye akili ili mpate kuwa na taqwa." [Al Baqarah 2:179]
Play Video
Play Video
51:40
Darsa: سنن الترمذي 🔴 LIVE | DARSA (III) رَاوِي الحَدِيثِ : سُفْيَانُ الثَْوْرِِيُّ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 22, 1448 H Jumanne Julai 07, 2026 Sunanut Tirmidhi سنن الترمذي كتاب الطهارة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم Kitabu cha Twahara/tohara kutokana na Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم Mlango wa Yaliyokuja kuwa ufunguo wa Sala ni Twaharaباب مَا جَاءَ أَنَّ مِفْتَاحَ الصَّلاَةِ الطُّهُورُ HADITHI YA TATU حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ، وَهَنَّادٌ، وَمَحْمُودُ بْنُ غَيْلاَنَ، قَالُوا حَدَّثَنَا وَكِيعٌ، عَنْ سُفْيَانَ، ح وَحَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ بَشَّارٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الرَّحْمَنِ بْنُ مَهْدِيٍّ حَدَّثَنَا سُفْيَانُ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَقِيلٍ، عَنْ مُحَمَّدِ ابْنِ الْحَنَفِيَّةِ، عَنْ عَلِيٍّ رضي الله عنه عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: "مِفْتَاحُ الصَّلاَةِ الطُّهُورُ وَتَحْرِيمُهَا التَّكْبِيرُ وَتَحْلِيلُهَا التَّسْلِيمُ " . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا الْحَدِيثُ أَصَحُّ شَيْءٍ فِي هَذَا الْبَابِ وَأَحْسَنُ . Kutokana na Ali (رضي الله عنه) kutokana na Nabii (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ”Ufunguo wa Sala ni Twahara, na Tahriym yake– kinachoharamisha yaliyokuwa yakifaa kuyafanya kabla ya Sala- ni Takbira, na Tahlili yake– chenye kuyahalalisha- ni (kutoa) Salamu.” Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Qutaybah (Rahimahullahu) قُتَيْبَةُ 2. Hannad (Rahimahullahu) هَنَّادٌ 3. Mahmoud bin Ghaylana (Rahimahullahu) مَحْمُودُ بْنُ غَيْلاَنَ 4. Waki' (Rahimahullahu) وَكِيعٌ Msimulizi wa Hadithi: Sufyanith Thawari (Rahimahullahu) سُفْيَانُ الثَْوْرِِيُّ الاسم: سفيان بن سعيد بن مسروق الكنية: أبو عبد الله النسب: الثوري, الكوفي بلد الإقامة: الكوفة علاقات الراوي: إخوته: حبيب والمبارك وعمر، وأصحابه: ابن المبارك ووكيع وأبو إسحاق الفزاري وابن مهدي المذهب العقدي: كان يتشيع فلما لقي أيوب وابن عون بالبصرة ترك التشيع تاريخ الميلاد: 95 هـ أو 96 هـ أو 97 هـ تاريخ الوفاة: 159 هـ أو 160 هـ أو 161 هـ أو 162 هـ بلد الميلاد: قال أبو داود: قزوين، وقال حمزة: ولد بقرية من قرى جرجان تعرف بالثوريين، وعن جرير بن عبد الحميد يقول: ولد سفيان الثوري بأثير، وذكر المنتجيلي: أنه ولد بدستبا قرية من قرى الري بلد الوفاة: البصرة بلد الرحلة: نيسابور، مكة، البصرة طبقة رواة التقريب: رؤس الطبقة السابعة الرتبة عند ابن حجر: ثقة حافظ, فقيه عابد، إمام حجة الرتبة عند الذهبي: أحد الأعلام علما وزهدا
Play Video
Play Video
42:29
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 178-179 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 23, 1448 H Jumatano Julai 08, 2026 Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِصَاصُ فِي الْقَتْلَى ۖ الْحُرُّ بِالْحُرِّ وَالْعَبْدُ بِالْعَبْدِ وَالْأُنثَىٰ بِالْأُنثَىٰ ۚ فَمَنْ عُفِيَ لَهُ مِنْ أَخِيهِ شَيْءٌ فَاتِّبَاعٌ بِالْمَعْرُوفِ وَأَدَاءٌ إِلَيْهِ بِإِحْسَانٍ ۗ ذَٰلِكَ تَخْفِيفٌ مِّن رَّبِّكُمْ وَرَحْمَةٌ ۗ ﴾فَمَنِ اعْتَدَىٰ بَعْدَ ذَٰلِكَ فَلَهُ عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿١٧٨ "Enyi mlioamini! Mmeandikiwa sharia ya kisasi kwa waliouawa; muungwana kwa muungwana, na mtumwa kwa mtumwa, na mwanamke kwa mwanamke, na anaesamehewa na nduguye kwa lolote, basi kufuatilizwa kwake kuwe kwa wema na kumlipa kwake iwe kwa ihsani, hiyo ni tahafifu kutoka kwa Rabi wenu na rehma; na atakayevuka mipaka baada ya hapo basi atapata adhabu iumizayo." [Al Baqarah 2:178] ﴾وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ﴿١٧٩ "Na mtapata katika kisasi (kuokoa) uhai enyi wenye akili ili mpate kuwa na taqwa." [Al Baqarah 2:179]
Contact
bottom of page